Ezekiel Wenje ajibu mapigo ya Tundu Lissu na Godbless Lema, mazito yafichuliwa CHADEMA

Ezekiel Wenje ajibu mapigo ya Tundu Lissu na Godbless Lema, mazito yafichuliwa CHADEMA

Ukipigwa HAKUNA kuhama chama, na tutapambana kutokana na majira - kama majira yatasema twende mabarabarani sawa au kama yatasema ni mezani sawa.
.very good Wenje...
 
Wakuu

Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, ambaye pia ni Mtia Nia wa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Ezekiel Wenje, anazungumza muda huu na Waandishi wa Habari.

Aliyoyazungumza Ezekiel Wenje

"Marafiki zangu wote, Lissu, Lema, Heche, wote wamekiri kwa nyakati tofauti kwamba mimi nilikuwa timu Lissu. Hata leo nimemsikia Tundu Lissu akiwa Clouds akisema, 'Nilipoona watu wameanza kushughulikiwa, mimi nikapiga u-turn (360) nikakimbia.' Nimemsikia akisema, 'Sasa na uongo umekuwa mwingi sana."

"Nianze kwa kusema hivi, ni kweli mimi nilikuwa timu Tundu Lissu na kwanini nilitoka, mnakumbuka mimi nilikimbia nchi, Lema alikimbia nchi na hata Lissu alikimbia nchi, experience ya kukimbia nchi yako sio kitu kidogo kwamba unaenda kwenye nchi ambayo hujuia mila na destuli zao, una ancha ndugu na na marafiki zako, sio experience ndogo"

"Sasa tukiwa huko mambo yakaenda mengi mpaka Mwenyekiti Freeman Mbowe akakamatwa na kwenda gerezani, Mwenyekiti akiwa gerezani mwaka 2022, akiwa gerezani marafiki zangu hawa wakashauriana waanzishe kitu kinaitwa Join the Chain na Mwenyekiti aliyeasisi hiyo movement ni rafiki yangu Godbless Lema na Join the Chain lengo lake ilikuwa ikusanywe fedha liitishwe Baraza Kuu, na mwisho wake Mkutano Mkuu lengo kubwa la vikao tulivyofanya kwasababu waliamini kabisa kwamba Freeman Mbowe ana kesi ya Ugaidi, waliamini kabisa kwamba Mbowe hawezi kutoka gerezani"

"Ikaitishwa movement 'Join the Chain', ambayo Godbless Lema alikuwa Mwenyekiti ili waende wafanye mapinduzi kwenye chama, Tundu Lissu awe mwenyekiti wa Chama, Mchungaji Peter Msigwa awe Makamu. Miliposhirikishwa mambo kama haya mimi nilikataa uasi, na hiyo ndio chanzo cha mimi kujiondoa kwenye hiyo timu Lissu."

Soma, Pia:

Kinachonifufahisha kwa Wenye ni lafudhi ya kijaluo na michapio kama ya Mzee Ojwang, zaidi ya hapo ni kigugumizi tu. Hana hoja🤣🤣🤣
 
Nimefuatilia press zote mbili ya Lema na huyu Wenje

Naweza sema press ya Lema iko na nguvu sana,na yule mwamba anajua kujielezea,ameongea mambo menge yenye mashiko,naamini kabisa ukiweka mizania ya hizi press mbili,naamini ya Lema ina uzito sana

Huyu bwana naona kama kaja kujichoresha tu,mfano ishu ya Mbowe kutaka kupinduliwa ndio ingekuwa karata muhimu sana kwa Mwenyekiti kuishi nayo,na hata kabla ya uchaguzi naamini kabisa sheria zingefuatwa na hao wahaini wange adhibiwa

Bado ukweli utabakia pale pale ni wakati wa mabadiliko sasa
 
Mwaka huu ndio Kuna UCHAGUZI wenje atulize Fuvu

WENJE HANA CREDITILITY YA KUA MWANACHADEMA HATA KWA DAKIKA MBILI..
WENJE Ni mpiga deal kitambo tangia akiwa butimba ttc
 
Kumbe
Wakuu

Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, ambaye pia ni Mtia Nia wa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Ezekiel Wenje, anazungumza muda huu na Waandishi wa Habari.

Aliyoyazungumza Ezekiel Wenje

"Marafiki zangu wote, Lissu, Lema, Heche, wote wamekiri kwa nyakati tofauti kwamba mimi nilikuwa timu Lissu. Hata leo nimemsikia Tundu Lissu akiwa Clouds akisema, 'Nilipoona watu wameanza kushughulikiwa, mimi nikapiga u-turn (360) nikakimbia.' Nimemsikia akisema, 'Sasa na uongo umekuwa mwingi sana."

"Nianze kwa kusema hivi, ni kweli mimi nilikuwa timu Tundu Lissu na kwanini nilitoka, mnakumbuka mimi nilikimbia nchi, Lema alikimbia nchi na hata Lissu alikimbia nchi, experience ya kukimbia nchi yako sio kitu kidogo kwamba unaenda kwenye nchi ambayo hujuia mila na destuli zao, una ancha ndugu na na marafiki zako, sio experience ndogo"

"Sasa tukiwa huko mambo yakaenda mengi mpaka Mwenyekiti Freeman Mbowe akakamatwa na kwenda gerezani, Mwenyekiti akiwa gerezani mwaka 2022, akiwa gerezani marafiki zangu hawa wakashauriana waanzishe kitu kinaitwa Join the Chain na Mwenyekiti aliyeasisi hiyo movement ni rafiki yangu Godbless Lema na Join the Chain lengo lake ilikuwa ikusanywe fedha liitishwe Baraza Kuu, na mwisho wake Mkutano Mkuu lengo kubwa la vikao tulivyofanya kwasababu waliamini kabisa kwamba Freeman Mbowe ana kesi ya Ugaidi, waliamini kabisa kwamba Mbowe hawezi kutoka gerezani"

"Ikaitishwa movement 'Join the Chain', ambayo Godbless Lema alikuwa Mwenyekiti ili waende wafanye mapinduzi kwenye chama, Tundu Lissu awe mwenyekiti wa Chama, Mchungaji Peter Msigwa awe Makamu. Miliposhirikishwa mambo kama haya mimi nilikataa uasi, na hiyo ndio chanzo cha mimi kujiondoa kwenye hiyo timu Lissu."

Soma, Pia:

Kumbe kinachotokea Leo ni mpango wa muda mrefu
 
Wakuu

Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, ambaye pia ni Mtia Nia wa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Ezekiel Wenje, anazungumza muda huu na Waandishi wa Habari.

Aliyoyazungumza Ezekiel Wenje

"Marafiki zangu wote, Lissu, Lema, Heche, wote wamekiri kwa nyakati tofauti kwamba mimi nilikuwa timu Lissu. Hata leo nimemsikia Tundu Lissu akiwa Clouds akisema, 'Nilipoona watu wameanza kushughulikiwa, mimi nikapiga u-turn (360) nikakimbia.' Nimemsikia akisema, 'Sasa na uongo umekuwa mwingi sana."

"Nianze kwa kusema hivi, ni kweli mimi nilikuwa timu Tundu Lissu na kwanini nilitoka, mnakumbuka mimi nilikimbia nchi, Lema alikimbia nchi na hata Lissu alikimbia nchi, experience ya kukimbia nchi yako sio kitu kidogo kwamba unaenda kwenye nchi ambayo hujuia mila na destuli zao, una ancha ndugu na na marafiki zako, sio experience ndogo"

"Sasa tukiwa huko mambo yakaenda mengi mpaka Mwenyekiti Freeman Mbowe akakamatwa na kwenda gerezani, Mwenyekiti akiwa gerezani mwaka 2022, akiwa gerezani marafiki zangu hawa wakashauriana waanzishe kitu kinaitwa Join the Chain na Mwenyekiti aliyeasisi hiyo movement ni rafiki yangu Godbless Lema na Join the Chain lengo lake ilikuwa ikusanywe fedha liitishwe Baraza Kuu, na mwisho wake Mkutano Mkuu lengo kubwa la vikao tulivyofanya kwasababu waliamini kabisa kwamba Freeman Mbowe ana kesi ya Ugaidi, waliamini kabisa kwamba Mbowe hawezi kutoka gerezani"

"Ikaitishwa movement 'Join the Chain', ambayo Godbless Lema alikuwa Mwenyekiti ili waende wafanye mapinduzi kwenye chama, Tundu Lissu awe mwenyekiti wa Chama, Mchungaji Peter Msigwa awe Makamu. Miliposhirikishwa mambo kama haya mimi nilikataa uasi, na hiyo ndio chanzo cha mimi kujiondoa kwenye hiyo timu Lissu."

Soma, Pia:

Toka wenje akiri rasmi ni rafiki wa mtoto wa rais simuamini kamwe, maneno mengi ni ya kutungwa
 
Back
Top Bottom