Wote matapeli hatuwapi nchi hao watatuuza kwa wazungu. Angalia Lissu kila siku yuko kwa Ubelgiji kwa mabwana zake. CDM kwishaaaa!!Upinzani ni matapeli tu, sasa tu angalia Tapeli wenye afadhali, Lisu, na wenje!
Wote matapeli hatuwapi nchi hao watatuuza kwa wazungu. Angalia Lissu kila siku yuko kwa Ubelgiji kwa mabwana zake. CDM kwishaaaa!!
Afadhali mjinga kuliko mpumbavu.The tuuze nchi maana Ccm ndo matapeli wakubwa kabisa; acha ujinga
Utayumbishwa sana mwisho wa siku upinzani na chama tawala wanaenda kuchekea chooni kwa pamoja.Ukitaka uwehuke basi kuwa mfuasi wa siasa na wanaharakati wa matumbo njaa wa Tanzania...
Wakuu,
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na maswali kuhusu wapi ilienda michango ya Wanachadema waliyoitoa kwenye kampeni ya Join The Chain.
Leo Ezekiel Wenje, amesema kuwa asihusishwe tena na fedha hizo kwani Godbless Lema ndiye alikuwa Mwenyekiti wa kampeni hiyo
View attachment 3203416
🤣 🤣 🤣View attachment 3203540
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameongoza matembezi ya mguu kwa mguu katika kata ya Kunduchi kwaajili ya kukusanya fedha za uendeshaji wa chama hicho.
Machi 25, 2022 Makamu mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu, akiwa Ubelgiji alizindua kampeni ya ‘Joing The Chain’ yenye lengo la kuchangia chama hicho kwaajili ya shughuli mbalimbali ikiwemo mkutano wa baraza kuu unaotarajiwa kufanyika Aprili 25 mwaka huu.
“Kampeni hii ni kwaajili ya kuchangia chama chochote ulichonacho, ili kufanya ukombozi wa kweli wa nchi yetu, dhuluma zimezidi gharama za maisha zimekuwa kubwa sana na kipato cha wananchi kimezidi kupungua,”alisema Mbowe.
Source: Mzalendo
Soma pia:
- Freeman Mbowe Aahidi kuzindua Kampeni ya Join The Chain Mkoani Dar es Salaam
- Mbowe ajitokeze haraka hadharani kueleza fedha za join the chain zipo wapi na zilipatikana shilingi ngapi, ili kuondoa malalamiko ya wanachama
- Join The Chain yaingia Kata ya Wazo, Mbowe akutana na Wanaccm awasalimia
Kwa mjibu wa Wenje hapo mpinduliwa Mbowe akiwa anakusanya pesa za kujipindua.
Wenje ni tapeli?!