Ezekiel Wenje: Lema ndiye aliongoza kumshughulikia Zitto Kabwe mpaka kuondoka CHADEMA

Ezekiel Wenje: Lema ndiye aliongoza kumshughulikia Zitto Kabwe mpaka kuondoka CHADEMA

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,


Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ndiye aliyeongoza mpango wa kumuondoa Zitto Kabwe katika chama hicho baada ya kupata laptop yenye baadhi ya taarifa za mipango ya kufanya uasi iliyokuwa ikiratibiwaa na Zitto Kabwe.



 
IMG-20250116-WA0060.jpg
 
Wakuu,


Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ndiye aliyeongoza mpango wa kumuondoa Zitto Kabwe katika chama hicho baada ya kupata laptop yenye baadhi ya taarifa za mipango ya kufanya uasi iliyokuwa ikiratibiwaa na Zitto Kabwe.



View attachment 3203499
Mbowe walimçhoka siku nyingi sana, toka enzi za akina zitto watu wànataka kumpindua tuu. Kweli mwamba ayattolah.
 
Wakuu,


Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ndiye aliyeongoza mpango wa kumuondoa Zitto Kabwe katika chama hicho baada ya kupata laptop yenye baadhi ya taarifa za mipango ya kufanya uasi iliyokuwa ikiratibiwaa na Zitto Kabwe.



View attachment 3203499
Ndo sera za kampeni za umakamu Mwenyekiti au ndo vile keshageuka roboti la Abdul na mama yake?
 
Lema na Lisu walishiriki moja kwa moja kumchafua Zitto pamoja na Kumsafisha Lowasa
Zito alipewa Sumu na mbowe kupitia yule chawa wake kileo akanusurika kufa ndipo akaamua kuhama
 
Mbowe akiwa mwenyekiti baada ya kuiba kura na Wenje Dalali awe makamu mwenyekiti wake hakika chadema itakuwa chama cha hovyo hovyo haijapata kutokea
 
Back
Top Bottom