Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haina maana yyt kwa sasa.....ngoma ni moja tu TL for Mwenyekiti....Suktan Kenge..za tupa kule kwa wakwe zakeWakuu,
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ndiye aliyeongoza mpango wa kumuondoa Zitto Kabwe katika chama hicho baada ya kupata laptop yenye baadhi ya taarifa za mipango ya kufanya uasi iliyokuwa ikiratibiwaa na Zitto Kabwe.
View attachment 3203499
Walitoa Rushwa waliiba kura na mboweHivi alipataje uenyekiti wa CHADEMA kanda ya Victoria? Au alibebwa na Mbowe?
Hizi kanda ziko ngapiMwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje,
Ila amtegemeae heche ana busara, au vp?Kama watu ambao Mbowe anawategemea kwenye team yake ni Wenje basi Mbowe hekima imemuisha HE MUST GO
Moja ya faida anayopata Lisu ni Mbowe kuwatanguliza vilaza mazezeta kama Wenje mbele, matokeo yake ni Aibu kwa mbowe na faida kwa LisuHaina maana yyt kwa sasa.....ngoma ni moja tu TL for Mwenyekiti....Suktan Kenge..za tupa kule kwa wakwe zake
Kama walivyomfanyia Msigwa? Kweli Mbowe bandido atupishe Lissu abebe kijiti ili turudishe hamu ya kujihusisha na siasaWalitoa Rushwa waliiba kura na mbowe
Kama unaona Wenje ana busara kama Heche basi mtafute tabibu wa afya ya akili.Ila amtegemeae heche ana busara, au vp?
Hakuna real opposition....! Real opposition wanajulikana walipo...!To me ZITTO ndiye real oppsition,
Mwamba kasema mpishe yeye,aliwakaribisha,aka wa groom mkapata ubunge,mkapata pesa sasa mmeota sharubu kama kambale.Muachie nyumba yake,mrudi mlikotoka.MWAMBA TUPISHE.
Tunamshukuru sana kwa yote, lakini sasa atupishe tunamtaka LISSU na HECHE.Mwamba kasema mpishe yeye,aliwakaribisha,aka wa groom mkapata ubunge,mkapata pesa sasa mmeota sharubu kama kambale.Muachie nyumba yake,mrudi mlikotoka.
Project ya serikaliNdo sera za kampeni za umakamu Mwenyekiti au ndo vile keshageuka roboti la Abdul na mama yake?
Mhuni ni Mbowe masimango na Dalalli wenjeChama Cha wahuni