Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mtu sijui kwa nini hachoki. Hakubaliki na mtu yoyote ila yumo tu. Anayemtuma anajitekenya na kucheka mwenyewe. Mtu wenu hana mvuto wa kusikilizwa, hana ushawishi, kwa sura tu anaonekana ni msanii aliyejaa rushwa!Wakuu,
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ndiye aliyeongoza mpango wa kumuondoa Zitto Kabwe katika chama hicho baada ya kupata laptop yenye baadhi ya taarifa za mipango ya kufanya uasi iliyokuwa ikiratibiwaa na Zitto Kabwe.
View attachment 3203499