ujinga wanaofanya chadema unafikili hiyo tarehe 21 ndio mwisho wa mapambano kisiasa.
hovyo kabis..!!
Acha mvua inyeshe tuone panapo vujaujinga wanaofanya chadema unafikili hiyo tarehe 21 ndio mwisho wa mapambano kisiasa.
hovyo kabis..!!
Samson Mwigamba!Mwigamba yupo siku hizi? Nilishamsahau
Yote wakifanya kwa maelekezo na amri ya mbowe.Lema na Lisu walishiriki moja kwa moja kumchafua Zitto pamoja na Kumsafisha Lowasa
Wote madalali! Umewai kumuoma Zitto au Mbowe wakimkosoa Mama?To me ZITTO ndiye real oppsition,
Mbowe walimçhoka siku nyingi sana, toka enzi za akina zitto watu wànataka kumpindua tuu. Kweli mwamba ayattolah.Wakuu,
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ndiye aliyeongoza mpango wa kumuondoa Zitto Kabwe katika chama hicho baada ya kupata laptop yenye baadhi ya taarifa za mipango ya kufanya uasi iliyokuwa ikiratibiwaa na Zitto Kabwe.
View attachment 3203499
Ndo sera za kampeni za umakamu Mwenyekiti au ndo vile keshageuka roboti la Abdul na mama yake?Wakuu,
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ndiye aliyeongoza mpango wa kumuondoa Zitto Kabwe katika chama hicho baada ya kupata laptop yenye baadhi ya taarifa za mipango ya kufanya uasi iliyokuwa ikiratibiwaa na Zitto Kabwe.
View attachment 3203499
Aliitetea ile tume ya rais ya TCD hivi waliachieve nini maana CHADEMA waliipingaTo me ZITTO ndiye real oppsition,
Zito alipewa Sumu na mbowe kupitia yule chawa wake kileo akanusurika kufa ndipo akaamua kuhamaLema na Lisu walishiriki moja kwa moja kumchafua Zitto pamoja na Kumsafisha Lowasa
Wenje ni mshamba zezeta mbumbu na mjinga kupita wapinzani wote DunianiKama watu ambao Mbowe anawategemea kwenye team yake ni Wenje basi Mbowe hekima imemuisha HE MUST GO
Hivi alipataje uenyekiti wa CHADEMA kanda ya Victoria? Au alibebwa na Mbowe?Wenje ni mshamba zezeta mbumbu na mjinga kupita wapinzani wote Duniani