Ezekiel Wenje: Peter Msigwa na Lissu walipanga kufanya mapinduzi kipindi Mbowe yuko gerezani. Mimi nilikataa kuwa muasi

Ezekiel Wenje: Peter Msigwa na Lissu walipanga kufanya mapinduzi kipindi Mbowe yuko gerezani. Mimi nilikataa kuwa muasi

Pamoja na mbowe kushika shika Damu za Lissu akiwa mahututi Tanzania mpaka Nairobi, kama haitoshi kumsafisha safisha akiwa amelazwa hosptalini Nairobi mpaka kumfikisha Ubelgiji Bado hakuwai kufikiria Tundu Lissu yakuwa atakufa na kuwauzia wasimchague hasiwe Makamu Mwenyekiti .


Lakini uwezi amini ndugu msimaji baada ya mbowe kupewa kesi ya MCHONGO Lissu,Lema Msigwa ma Heche walikaaa CHINI kumjadiri mbowe jinsi ya kumwondoa kwenye nafasi ya uhenyekiti,


Swali huu ni ubinadamu?

Kwa kuwa viongozi wa dini waliomfata mbowe gerezani kumwambia yakuwa Rais anamwachia baada Yao viongozi kunasa mawasiliano ya viongozi tanwa hapo wakipanga njama za kumuujumu na kwa kuwa Rais Samia hataki chadema ife, anamwachia mbowe akaijenge chadema na hahakikishe mamluki wameondolewa

Viongozi hao wako tayari kuvujisha mpango huo alamu stay tuned
Pumba tupu.
Awamu hii kila uzushi wenu utafeli vibaya. Mlizoea kuishi kwa uzushi na majungu ili tu mbowe aendelee kuwa mwenyekiti lakini awamu hii nyakati zimemkataa
 
Pamoja na mbowe kushika shika Damu za Lissu akiwa mahututi Tanzania mpaka Nairobi, kama haitoshi kumsafisha safisha akiwa amelazwa hosptalini Nairobi mpaka kumfikisha Ubelgiji Bado hakuwai kufikiria Tundu Lissu yakuwa atakufa na kuwauzia wasimchague hasiwe Makamu Mwenyekiti .


Lakini uwezi amini ndugu msimaji baada ya mbowe kupewa kesi ya MCHONGO Lissu,Lema Msigwa ma Heche walikaaa CHINI kumjadiri mbowe jinsi ya kumwondoa kwenye nafasi ya uhenyekiti,


Swali huu ni ubinadamu?

Kwa kuwa viongozi wa dini waliomfata mbowe gerezani kumwambia yakuwa Rais anamwachia baada Yao viongozi kunasa mawasiliano ya viongozi tanwa hapo wakipanga njama za kumuujumu na kwa kuwa Rais Samia hataki chadema ife, anamwachia mbowe akaijenge chadema na hahakikishe mamluki wameondolewa

Viongozi hao wako tayari kuvujisha mpango huo alamu stay tuned
Mfumo wote wanajitapikia sasa.

Seems mfumo unapanga matukio kisha wanawatuma vimbwenelehi vyao mitandaoni kama hivi
 
Pamoja na mbowe kushika shika Damu za Lissu akiwa mahututi Tanzania mpaka Nairobi, kama haitoshi kumsafisha safisha akiwa amelazwa hosptalini Nairobi mpaka kumfikisha Ubelgiji Bado hakuwai kufikiria Tundu Lissu yakuwa atakufa na kuwauzia wasimchague hasiwe Makamu Mwenyekiti .


Lakini uwezi amini ndugu msimaji baada ya mbowe kupewa kesi ya MCHONGO Lissu,Lema Msigwa ma Heche walikaaa CHINI kumjadiri mbowe jinsi ya kumwondoa kwenye nafasi ya uhenyekiti,


Swali huu ni ubinadamu?

Kwa kuwa viongozi wa dini waliomfata mbowe gerezani kumwambia yakuwa Rais anamwachia baada Yao viongozi kunasa mawasiliano ya viongozi tanwa hapo wakipanga njama za kumuujumu na kwa kuwa Rais Samia hataki chadema ife, anamwachia mbowe akaijenge chadema na hahakikishe mamluki wameondolewa

Viongozi hao wako tayari kuvujisha mpango huo alamu stay tuned
Kusoma habari za mtu hawezi kuandika kiswahili kuna bore sana.
 
Kwa kuwa viongozi wa dini waliomfata mbowe gerezani kumwambia yakuwa Rais anamwachia baada Yao viongozi kunasa mawasiliano ya viongozi tanwa hapo wakipanga njama za kumuujumu na kwa kuwa Rais Samia hataki chadema ife, anamwachia mbowe akaijenge chadema na hahakikishe mamluki wameondolewa

Viongozi hao wako tayari kuvujisha mpango huo alamu stay tuned
Sauti za kutengenezwa
Kumbukeni ya Rwakatare
 
Pamoja na mbowe kushika shika Damu za Lissu akiwa mahututi Tanzania mpaka Nairobi, kama haitoshi kumsafisha safisha akiwa amelazwa hosptalini Nairobi mpaka kumfikisha Ubelgiji Bado hakuwai kufikiria Tundu Lissu yakuwa atakufa na kuwauzia wasimchague hasiwe Makamu Mwenyekiti .


Lakini uwezi amini ndugu msimaji baada ya mbowe kupewa kesi ya MCHONGO Lissu,Lema Msigwa ma Heche walikaaa CHINI kumjadiri mbowe jinsi ya kumwondoa kwenye nafasi ya uhenyekiti,


Swali huu ni ubinadamu?

Kwa kuwa viongozi wa dini waliomfata mbowe gerezani kumwambia yakuwa Rais anamwachia baada Yao viongozi kunasa mawasiliano ya viongozi tanwa hapo wakipanga njama za kumuujumu na kwa kuwa Rais Samia hataki chadema ife, anamwachia mbowe akaijenge chadema na hahakikishe mamluki wameondolewa

Viongozi hao wako tayari kuvujisha mpango huo alamu stay tuned
Hivi shule ulienda kusomea ujinga? Aibu kubwa hii.
 
Pamoja na mbowe kushika shika Damu za Lissu akiwa mahututi Tanzania mpaka Nairobi, kama haitoshi kumsafisha safisha akiwa amelazwa hosptalini Nairobi mpaka kumfikisha Ubelgiji Bado hakuwai kufikiria Tundu Lissu yakuwa atakufa na kuwauzia wasimchague hasiwe Makamu Mwenyekiti .


Lakini uwezi amini ndugu msimaji baada ya mbowe kupewa kesi ya MCHONGO Lissu,Lema Msigwa ma Heche walikaaa CHINI kumjadiri mbowe jinsi ya kumwondoa kwenye nafasi ya uhenyekiti,


Swali huu ni ubinadamu?

Kwa kuwa viongozi wa dini waliomfata mbowe gerezani kumwambia yakuwa Rais anamwachia baada Yao viongozi kunasa mawasiliano ya viongozi tanwa hapo wakipanga njama za kumuujumu na kwa kuwa Rais Samia hataki chadema ife, anamwachia mbowe akaijenge chadema na hahakikishe mamluki wameondolewa

Viongozi hao wako tayari kuvujisha mpango huo alamu stay tuned
Jifunze kuandika vizuri kwanza ndio urudi tena
 
Pamoja na mbowe kushika shika Damu za Lissu akiwa mahututi Tanzania mpaka Nairobi, kama haitoshi kumsafisha safisha akiwa amelazwa hosptalini Nairobi mpaka kumfikisha Ubelgiji Bado hakuwai kufikiria Tundu Lissu yakuwa atakufa na kuwauzia wasimchague hasiwe Makamu Mwenyekiti .


Lakini uwezi amini ndugu msimaji baada ya mbowe kupewa kesi ya MCHONGO Lissu,Lema Msigwa ma Heche walikaaa CHINI kumjadiri mbowe jinsi ya kumwondoa kwenye nafasi ya uhenyekiti,


Swali huu ni ubinadamu?

Kwa kuwa viongozi wa dini waliomfata mbowe gerezani kumwambia yakuwa Rais anamwachia baada Yao viongozi kunasa mawasiliano ya viongozi tanwa hapo wakipanga njama za kumuujumu na kwa kuwa Rais Samia hataki chadema ife, anamwachia mbowe akaijenge chadema na hahakikishe mamluki wameondolewa

Viongozi hao wako tayari kuvujisha mpango huo alamu stay tuned
Mwaka huu Mmachame wamemkalia kooni
 
Nani ataamini huo uzushi wenu tena mwenzako Wenje kavuliwa nguo mchana kweupe jana . Hivi kama yule askari pale anaweza kushushwa pale Askari monument na kuanza kufanya patrol nini kinashindikana kwa nyakati hizi za teknolojia na AI. Bakini na maujinga yenu watu wameshaamua wanataka mabadiliko.
Imekua rahisi sana kuwachefua

No spine
 
CHADEMA siyo chama tena siku hizi bali imebaki kuwa ni genge la wahuni tu. Siamini kuwa CHADEMA itapata hata mbunge mmoja wa kuchaguliwa kwenye bunge lijalo. Mwaka 2020 walihjifariji kwa visingiziuo kuwa Jiwe alivuruga uchagizi; sasa ngoja tuone matokeo yajayo ambapi jiwe alishaondoka miaka takribani miitano iliyopita.
itapata sana, mbona Trump pamoja na tuhuma nyingi alizotuhumiwa amepata Uraisi?
 
Pamoja na mbowe kushika shika Damu za Lissu akiwa mahututi Tanzania mpaka Nairobi, kama haitoshi kumsafisha safisha akiwa amelazwa hosptalini Nairobi mpaka kumfikisha Ubelgiji Bado hakuwai kufikiria Tundu Lissu yakuwa atakufa na kuwauzia wasimchague hasiwe Makamu Mwenyekiti .


Lakini uwezi amini ndugu msimaji baada ya mbowe kupewa kesi ya MCHONGO Lissu,Lema Msigwa ma Heche walikaaa CHINI kumjadiri mbowe jinsi ya kumwondoa kwenye nafasi ya uhenyekiti,


Swali huu ni ubinadamu?

Kwa kuwa viongozi wa dini waliomfata mbowe gerezani kumwambia yakuwa Rais anamwachia baada Yao viongozi kunasa mawasiliano ya viongozi tanwa hapo wakipanga njama za kumuujumu na kwa kuwa Rais Samia hataki chadema ife, anamwachia mbowe akaijenge chadema na hahakikishe mamluki wameondolewa

Viongozi hao wako tayari kuvujisha mpango huo alamu stay tuned
binafsi, hata ingekuwaje, sioni kosa kama yeyote chadema angepanga kumwondoa DJ kwenye uenyekiti, ni kwa maslahi ya chadema na nchi kabisa. hana uwezo tena kuendelea, amekuwa legelege sana, na hana faida. yapaswa wapongezwe, na hayo unayoyasema yanawapaisha zaidi hao jamaa maana jamii itawaona walikuwa na lengo jema na walishaanza kufanya makubwa kitambo.
 
Wakuu,

Mambo yamezidi kupamba moto CHADEMA.

Kwenye Press conference ya leo amesema kuwa Lema na Lissu walikuwa wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA wakati Mbowe yuko gerezani na kwamba yeye ni team Mbowe kwa sababu alikataa kuwa muasi ya mapinduzi hayo.

Yaani Wenje ameamua kwenda DEFCON 3 kabisa

View attachment 3203415
Wenje moja ya kiongozi wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom