F T: JKT Tanzania FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Isamuhyo Stadium | 15.02.2024

Awa ni JKT Tanzania, Huu uwanja ni mkubwa Sana na Simba walikata upepo mapema.
Uu ni uwanja mkubwa Sana unataka timu zenye mapafu kama Yanga.
Kama Yanga atachezea uwanja uu mtu anaweza kupigwa zaidi ya goli Tano.
Hata round ya kwanza alipigwa hizo tano
 
Tulibwino kaya anjatu😁😁😁
 
Kwa jicho langu...CHAMA ameibeba timu hizi mechi 3 ugenini...
Ni bora kumpa mshahara wa kutosha kuliko kusajili akina FRED 2..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…