Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
🤣Hatujazoea hivyo labda kama umeanza kuishabikia jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Hatujazoea hivyo labda kama umeanza kuishabikia jana
Kaka sitelezi Tena hapoTuko na Points 36, Mpinzani wetu ametuacha kwa points 4 tu.
Ateleze kidogo apige pua
Hata round ya kwanza alipigwa hizo tanoAwa ni JKT Tanzania, Huu uwanja ni mkubwa Sana na Simba walikata upepo mapema.
Uu ni uwanja mkubwa Sana unataka timu zenye mapafu kama Yanga.
Kama Yanga atachezea uwanja uu mtu anaweza kupigwa zaidi ya goli Tano.
Sasa watafanye muda wote tuko langoni mwao?Kwamba wakati nyie mnashambulia, wapinzani wenu wanakuwa wamesimama kuuheshimu wimbo wa taifa?
Tulibwino kaya anjatu😁😁😁Wale wenye mchezaji wa kizenji anaefunga kuanzia dkk ya 85 na kuendelea kwa msaada wa Majini.... majini FC mlibwanjii...
😂 😂 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸 😂 😂 😂 😂
Kila la heri Mnyama mkali...
Nguvu moja
Kaa nalo tu hilo jini au liweke kabatini likutoe kwenye umaskiniNimewatupia jini na msimu huu kombe hampati 🤣🤣
Huyo jamaa siku Hizi namuona kama ame-data....Benchikha ulikuwa unamlaumu kwa kipi?
amechelewesha sub ya saido yule wakutoka mapema sanaBenchikha ulikuwa unamlaumu kwa kipi?
Nachambua mechi sizungumzii mapenzi yangu na SimbaMkuu, na wewe ulipenda iwe hivyo?
.Awa ni JKT Tanzania, Huu uwanja ni mkubwa Sana na Simba walikata upepo mapema.
Uu ni uwanja mkubwa Sana unataka timu zenye mapafu kama Yanga.
Kama Yanga atachezea uwanja uu mtu anaweza kupigwa zaidi ya goli Tano.
Halafu anatoka kiongozi asema chama ameuza mechiKwa jicho langu...CHAMA ameibeba timu hizi mechi 3 ugenini...
Ni bora kumpa mshahara wa kutosha kuliko kusajili akina FRED 2..
Goli zaidi ya moja haziwezi kukupa point 6 kwa mechi moja, kama umezoea goli zaidi ya moja basi we ni mshabiki wa netball 😂Hatujazoea hivyo labda kama umeanza kuishabikia jana
Majini yote yameshatenguliwa na mwamba Mwamposa akishirikiana na brother Suguye, msimu huu Uto hamna lenu.Nimewatupia jini na msimu huu kombe hampati 🤣🤣
Hao uliowasemea kaka wote ni wanachama wa Yanga scMajini yote yameshatenguliwa na mwamba Mwamposa akishirikiana na brother Suguye, msimu huu Uto hamna lenu.
KMC anafanya kitu apate points 3 😂Kaka sitelezi Tena hapo
Ila hawachekagi na majini 😂Hao uliowasemea kaka wote ni wanachama wa Yanga sc
We jini maimuna angalia msimamo uje uongee hapa..naona mlikua baharini mnawatupia majini jkt ili wapate sare..Makolo Mnajikongoja Tu Kazi Mnayo.