F T: JKT Tanzania FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Isamuhyo Stadium | 15.02.2024

F T: JKT Tanzania FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Isamuhyo Stadium | 15.02.2024

Hivi hili shamba kabla ya mechi lilikuwa likitumiwa kwenye kilimo gani?
 
Wale wenye mchezaji wa kizenji anaefunga kuanzia dkk ya 85 na kuendelea kwa msaada wa Majini.... majini FC mlibwanjii...
[emoji23] [emoji23] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kila la heri Mnyama mkali...
Nguvu moja
Umenikumbusha Malawi
 
Back
Top Bottom