Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wote walipigwa [emoji2772]Wale wenye mchezaji wa kizenji anaefunga kuanzia dkk ya 85 na kuendelea kwa msaada wa Majini.... majini FC mlibwanjii...
[emoji23] [emoji23] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kila la heri Mnyama mkali...
Nguvu moja
Tupe updates mkuu hakuna umeme huku Matembele ya pili 😉Hamna umeme?
Simu ina chaji ila Power Bank ya Router ndio imekata moto na TANESCO wamefakisha tangu asubuhiHamna umeme?
Najiuliza sababu ya kufanya hivyo huku kukiwa na kina Chasambi na KarabakaKanoute leo ni winga ya kulia?????
Saidoo Kafungwa Jini la Utopolo.Sadio mara nyingi amekuwa akipiga juu akiwa maeneo mazuri ya kufunga. Ana utimamu kweli?
Watoeni Majini yenu mkuu hawajachoka.Wachezaji Simba wametumika sana wengi wanaonekana kuchoka mechi mfulululizo zimewachosha
Uto kwenye uboraHivi huyu mwamuzi Tatu Malogo ana mkataba maalum wa kuchezesha mechi za Simba!!! Kwa hali hii Simba lazima itashinda tu huu mchezo.