Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Tusubiri utopolo waje kulalamika wamefungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So kweliHii mechi ilipaniwa sana na jkt pamoja na uto
Mkuu, umelazimishwa kuwa huku?Duh!!! Hapa hatuna timu
Hawawezi kuja 😂😂Tusubiri utopolo waje kulalamika wamefungwa
Hawa ni JKT Tanzania, wale wa Ruvu walishuka daraja siku nyingi.Hivi hawa JKT ndio wale wa Ruvu? I mean Ruvu JKT?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mkuu, na wewe ulipenda iwe hivyo?JKT ni wazembe tu, walitakiwa kuchukua point zote
Hamia jangwani 😁Duh!!! Hapa hatuna timu
NiniKwahiyo?
Kwamba wakati nyie mnashambulia, wapinzani wenu wanakuwa wamesimama kuuheshimu wimbo wa taifa?Mashambulizi mwanzo mwisho mpaka maji waite mmaa
Kimoja hakitoshi ama hakiwezi kusababisha mimba?Nini
Benchikha ulikuwa unamlaumu kwa kipi?Tupigwe tu maana benchika nae amekuwa hovyo sana
Awa ni JKT Tanzania, Huu uwanja ni mkubwa Sana na Simba walikata upepo mapema.Hivi hawa JKT ndio wale wa Ruvu? I mean Ruvu JKT?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hatujazoea hivyo labda kama umeanza kuishabikia janaKimoja hakitoshi ama hakiwezi kusababisha mimba?
Acha kujitoa ufahamu tumepiga wajeda na tumeondoka na point zote kwa hicho kigoli kimoja.
Wanawaokota wap ? Hivi afrika mashariki. Na kati hakuna mshambuliaji wa maanaJobe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]