Gangi Longa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 275
- 135
Kha jamani naye ni binadamu na anaendana na teknolojia! Yuko karibu na watu yaani in social network tatizo lako nini? au unataka uwe na rais ambaye hajui hata kutumia computer? uanze kulalama! Mi sioni tatizoNini haja Mhe. Rais kuwa kwenye Facebook ?..