Facebook: Sehemu pekee unapoweza kupata uhalisia wa watu

I was there lakini nikaona mambo yalojaa huko hayaelekei kuwajenga watu zaidi ya usanii usanii.
Nafikiri hizi social media wengi wanaitumia vibaya...niliondoka bila kuaga kule.
Hahahaa kwamba hata hukuaga mtu! Ule mtandao sijawahi hata kufikiria kujiunga
 
Na ni mtandao japo watu wanaona wakishamba Ukiwa serious na biashara ya mtandao ni rahisi kupata wateja tofauti na mitandao mingine ya kijamii.
Ni kweli...lakini hata kwenye uhalisia wengi mnawaalika watu wapeleke biashara usukumani.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
kuna utoto zaidi ya huku JF kwenu mnakoandika mara papuchi mara kugegeda mara kibumbu
Labda Mimi nlikua mgeni wa Fb ila siwez kulinganisha JF n FB ..JF ina wapuuzi wachache ila watu walio wengi wanajitambua tofaut na FB...n mtazamo wangu
 
Ingekuwa vizuri kama kungekuwa hamna kipengele cha kufuta status na picha kama hapa JF ingependeza zaidi...
 
Labda Mimi nlikua mgeni wa Fb ila siwez kulinganisha JF n FB ..JF ina wapuuzi wachache ila watu walio wengi wanajitambua tofaut na FB...n mtazamo wangu
Sure...kule kila mtu yupo.Dakika kadhaa nimeinstall fb app nikafungua akaunti kule.Mara naona watu kibao...karibu kila mtu yupo,nikafuta app nikarudi zangu huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…