Facebook: Sehemu pekee unapoweza kupata uhalisia wa watu

Facebook: Sehemu pekee unapoweza kupata uhalisia wa watu

I was there lakini nikaona mambo yalojaa huko hayaelekei kuwajenga watu zaidi ya usanii usanii.
Nafikiri hizi social media wengi wanaitumia vibaya...niliondoka bila kuaga kule.
Hahahaa kwamba hata hukuaga mtu! Ule mtandao sijawahi hata kufikiria kujiunga
 
Na ni mtandao japo watu wanaona wakishamba Ukiwa serious na biashara ya mtandao ni rahisi kupata wateja tofauti na mitandao mingine ya kijamii.
Ni kweli...lakini hata kwenye uhalisia wengi mnawaalika watu wapeleke biashara usukumani.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
kuna utoto zaidi ya huku JF kwenu mnakoandika mara papuchi mara kugegeda mara kibumbu
Labda Mimi nlikua mgeni wa Fb ila siwez kulinganisha JF n FB ..JF ina wapuuzi wachache ila watu walio wengi wanajitambua tofaut na FB...n mtazamo wangu
 
JF ni ngumu watu ni anonymous! HAWAJULIKANI! Instagram ubishoo na showoff za kumwaga! Hakuna realistic.. Yaani hakuna ukweli... Badoo ni biashara ya umalaya ushoga na usagaji... Facebook pekee ndio tunaweza ita lango la mitandao yote.... Wageni wa mitandao huanzia Facebook.... Angalia background za picha zinabeba uhalisia, angalia aina ya lugha ni halisi.. Ndio aachojua hicho hakuna edition! Angalia picha zenyewe ni vituko tupu lakini hajafanya masahihisho yoyote kapost halisi
Tuna mada ya vituko vya Facebook.. Hii ni kwakuwa watu wana post uhalisia.. Ukiwa na muda wa kufuatilia mmoja mmoja utaona anavyobadilika kutoka kwenye uhalisia mpaka kwenye ulimwengu wa kudanganya uhalisia....
That's Facebook...!!! /utaona picha zitakazotumwa msimu huu wa sikukuu hasa kwa wale watumiaji wapya wa mitandao
Happy Christmas!!...mwaka mpya bado. .
Ingekuwa vizuri kama kungekuwa hamna kipengele cha kufuta status na picha kama hapa JF ingependeza zaidi...
 
Labda Mimi nlikua mgeni wa Fb ila siwez kulinganisha JF n FB ..JF ina wapuuzi wachache ila watu walio wengi wanajitambua tofaut na FB...n mtazamo wangu
Sure...kule kila mtu yupo.Dakika kadhaa nimeinstall fb app nikafungua akaunti kule.Mara naona watu kibao...karibu kila mtu yupo,nikafuta app nikarudi zangu huku.
 
Screenshot_20171227-011215.jpg
Screenshot_20171227-011108.jpg
 
Back
Top Bottom