Facebook: Sehemu pekee unapoweza kupata uhalisia wa watu

Facebook: Sehemu pekee unapoweza kupata uhalisia wa watu

Fb nlishashindwa kuipenda ..nlishafungua akaunti nkaishia kujiondoa n app ile nkaifuta kabisa..hua kuna utoto mwingi sana huko
Basi wewe hujaona utoto wa instagram
 
Kwanza fb kila mtu kafikaa chuo.. Hahahhaha wengine unawafaham kabisa form four alichora ila wall yake. Went at university of Dar es Salaam '[emoji27][emoji27][emoji27] na ukutaka kujua huyu kajiunga juzi lzm post itakuwa 'wadau za asubuhi or mchana au usiku ' .pia ukitaka Picha za sikukuu ingia Facebook kesho...... Kule pia ndo kuna post za share picha hii nikuad...... Na zile post za ET mimi ni mzuri jaman?... Yani ni real life plus. Ushamba..... Pia Facebook kila kinachoendelea kinaripotiwa ET jaman nipo safarini mniombee, mara tupo kijiweni na wanangu apa, aisee ukiingia uko andaa mbavu kabisa mana lzm ucheke
Dah umenifanya nicheke [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Na ni mtandao japo watu wanaona wakishamba Ukiwa serious na biashara ya mtandao ni rahisi kupata wateja tofauti na mitandao mingine ya kijamii.
Sahihi kabisa,fb pana soko kubwa na la maana kuliko jf
 
Kwanza fb kila mtu kafikaa chuo.. Hahahhaha wengine unawafaham kabisa form four alichora ila wall yake. Went at university of Dar es Salaam '[emoji27][emoji27][emoji27] na ukutaka kujua huyu kajiunga juzi lzm post itakuwa 'wadau za asubuhi or mchana au usiku ' .pia ukitaka Picha za sikukuu ingia Facebook kesho...... Kule pia ndo kuna post za share picha hii nikuad...... Na zile post za ET mimi ni mzuri jaman?... Yani ni real life plus. Ushamba..... Pia Facebook kila kinachoendelea kinaripotiwa ET jaman nipo safarini mniombee, mara tupo kijiweni na wanangu apa, aisee ukiingia uko andaa mbavu kabisa mana lzm ucheke
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huo ndo mtandao nilishashindwa kujiunga kabisa kwa story zake tu huwa sina hamu nao hata kujua unafanyaje kazi.
I was there lakini nikaona mambo yalojaa huko hayaelekei kuwajenga watu zaidi ya usanii usanii.
Nafikiri hizi social media wengi wanaitumia vibaya...niliondoka bila kuaga kule.
 
Back
Top Bottom