Facial treatment / matibabu ya uso

Facial treatment / matibabu ya uso

Yan mm mwisho safar hii nahamia chimbo jipya Yan pale sunscreen had elf 10 my wangu laki unapata kilakitu full kuanzia face wash nineziona dermoviva face cleanser nitaanza kuchunguza ingredient tuhame vovi
kuna sunscreen hadi ya 3500 bhana 😂😂😂ni dr james sijui dr darvey
 
Hello, wapenzi wangu kama mnavyojua nyuso zetu zinakumbana na changamoto nyingi,kma chunusi, makovu, weusi kwenye macho na mambo mengi kutokana na sababu mbalimbali kama hormones, jua, vyakula n.k ambazo zinapelekea kuharibu nyuso zetu.

Hivyo basi ili kuweza kuhakikisha nyuso zetu zinabaki kua nzuri za kuvutia tunatakiwa kua na utaratibu wa kuhudumia nyuso zetu wngine wanasema wanafanya facial treatment, wengine wanaenda kwenye masaluni yanayotoa huduma izo but kuna wengine wanafanya nyumbani, so let's share together unafanya nini kutibu uso wako?

Binafsi mimi nafanya facial treatment mara 2 kwa wiki au mara 1 hasa nikiwa busy sana but most time nafanya mara 2 kwa wk.
1.naosha uso wangu na sabuni au face wash( uso wangu ni wa mafuta hasa mashavuni na kwny paj la uso)
2.Najifusha/facial steaming
3.Nafanya scrub,apa mimi mara nying natumia manjano na liwa na mix na asali,au kuna siku natumia mtind badala ya asali, namix nasugulia usoni then nakaa kwa dk 15 nanawa na maji barid ya kwnye fridge sometimes
4.Baada ya apa naendelea na taratibu nyingine ntafanya massage ya uso then ntapak serum after seconds ntapaka lotion yangu imeisha iyo.
So ebu share nasi jinsi unavyotibu uso wako,tushauriane pia tips kulingana na aina za ngozi zetu.
Huyu dda alitangaza tiba yake ya asili hapa jF, hii ni kiboko ya kila tatizo la ngozi, au kwa tiba au kwa urembo tu:

 
Kwanini hutaki 🤣🤣🤣
IMG_7452.png

imagine hiyo yote eti 25k we huogopi😂😂
 
Hello, wapenzi wangu kama mnavyojua nyuso zetu zinakumbana na changamoto nyingi,kma chunusi, makovu, weusi kwenye macho na mambo mengi kutokana na sababu mbalimbali kama hormones, jua, vyakula n.k ambazo zinapelekea kuharibu nyuso zetu.

Hivyo basi ili kuweza kuhakikisha nyuso zetu zinabaki kua nzuri za kuvutia tunatakiwa kua na utaratibu wa kuhudumia nyuso zetu wngine wanasema wanafanya facial treatment, wengine wanaenda kwenye masaluni yanayotoa huduma izo but kuna wengine wanafanya nyumbani, so let's share together unafanya nini kutibu uso wako?

Binafsi mimi nafanya facial treatment mara 2 kwa wiki au mara 1 hasa nikiwa busy sana but most time nafanya mara 2 kwa wk.
1.naosha uso wangu na sabuni au face wash( uso wangu ni wa mafuta hasa mashavuni na kwny paj la uso)
2.Najifusha/facial steaming
3.Nafanya scrub,apa mimi mara nying natumia manjano na liwa na mix na asali,au kuna siku natumia mtind badala ya asali, namix nasugulia usoni then nakaa kwa dk 15 nanawa na maji barid ya kwnye fridge sometimes
4.Baada ya apa naendelea na taratibu nyingine ntafanya massage ya uso then ntapak serum after seconds ntapaka lotion yangu imeisha iyo.
So ebu share nasi jinsi unavyotibu uso wako,tushauriane pia tips kulingana na aina za ngozi zetu.
Bila kapicha uzi ni batili🤣👐
 
😂😂😂shida ni kwamba unaweza toa hela kubwa ukahidi unanunua Og kumbe unanunua feki kwa bei ya Og
Pharmacy at least inakuwa 85/100 tofauti na cosmetic shops
 
Kwanza kitu kikishakuwa whitening ni cha kukimbia bila kuangalia nyuma 🤣
sasa ndo product nying za Dr siitaki kabisa😂😂ngozi enyewe naibembeleza mnoo haina shukrani
 
Nashukuru mungu mi nikinunua baby care ya 2000 napaka na mtoto ukimuona huwezi amini kama napaka matope
 
Yan mm mwisho safar hii nahamia chimbo jipya Yan pale sunscreen had elf 10 my wangu laki unapata kilakitu full kuanzia face wash nineziona dermoviva face cleanser nitaanza kuchunguza ingredient tuhame vovi
Vovi wametuweza jamani🤣🤣
Ngoja hako ka vivo ketu kakiisha me naanza kutest ile clean and clear yenye salicylic
 
hapa nafumba macho nikafanye cabon laser mwisho wa mwezi darkspot ni nyingi sana 😂
 
hapa nafumba macho nikafanye cabon laser mwisho wa mwezi darkspot ni nyingi sana 😂
Usoni au?
mimi napataga vipele vya mp
Vikienda vinaenda bila kuacha madoa
Usiwe unabinya, ukibinya ndo vinaacha madoa
 
Back
Top Bottom