Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Cerave jamani
Nina product zao2
Sioni maajabu
Nina product zao2
Sioni maajabu
nimehamia kwa Cera Ve na natumia qasi powder ndo atleast
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimehamia kwa Cera Ve na natumia qasi powder ndo atleast
🤠🤠🤠Nashukuru mungu mi nikinunua baby care ya 2000 napaka na mtoto ukimuona huwezi amini kama napaka matope
fanya kunitumia mahi😂😂Cerave jamani
Nina product zao2
Sioni maajabu
yes usoni 😂Usoni au?
mimi napataga vipele vya mp
Vikienda vinaenda bila kuacha madoa
Usiwe unabinya, ukibinya ndo vinaacha madoa
Poaah!!80- pharmacy
38-50- normal cosmetic shops
Wee bora Og, hizo fake nani anatakaa, [emoji23][emoji23][emoji23]80k nadhani ila niffer alileta zile zake sijui 35k au ukitaka og agiza from amazon [emoji23]
Itakua fake!!Kheee!! Unataka niambiaje mahi
Kuna sehemu ndiyo nimeshuhudia wanauza 80k.
Wale wanaouza 38-50k?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii.trust me mahi nilinunuaga ya 35k [emoji23][emoji23]alooo nikanunua ya 80k afu nikaja agiza kwao wenyewe sunscreen ya uso tu kadogo $39 ni tofauti na hizi tunazopewa huku nakwambia [emoji23][emoji23][emoji3]
Ndo hapoo panachanganyaa kichwaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shida ni kwamba unaweza toa hela kubwa ukahidi unanunua Og kumbe unanunua feki kwa bei ya Og
Yani wamejua kutushangaza na kutuhangaisha 😀😀Vovi wametuweza jamani🤣🤣
Ngoja hako ka vivo ketu kakiisha me naanza kutest ile clean and clear yenye salicylic
Yani wamejua kutushangaza na kutuhangaisha 😀😀
Hahha hata kwenye kimfuko Cha miatano havijai😂😂😂Hivi sahivi si gari itakuwa imefika? 🤣🤣
Am so excited na vitu vya Claritha
Nina kimuhemuhe
Lubri unafanyia nn mamdogo aunt😂😂Itakua fake!!
Mie kuna lubri, nilinunua mikocheni 70k, eti kkoo kuna duka LA muarabu kuuliza n 30k, nilipoichek vzr nkaona ni fake tyuu.
![]()
![]()
![]()
![]()
😂😂😂 yan toka jana hujabandika?Hahha hata kwenye kimfuko Cha miatano havijai😂😂😂
Ngoja nibandike nikurushe roho 🤣🤣🤣
yes usoni 😂
yaan kitu nimeshindwa ni kuacha kubinya acne jamani naweza amka usiku wa manane niwashe taa nijiangalie kisha nijibinye yaani sijui nifanyeje
labda nihamie kwene supliments labda
Zinakukubali?fanya kunitumia mahi😂😂
Haha Ile face brush kiboko aisee ni nzuri😂😂😂 yan toka jana hujabandika?
Yoo me nitaweka usiku huu huu
Ngoja nifanye namna ya delivery
Gari sahivi itakuwa imefika