FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

Ha ha ha haaaaaaaaa wizard

Na wewe unani quote kwa lipi wakati najua unavyoichukia serikali ya awamu hii haswa Raisi wetu na RC wa Dar!?

Mtanyooka tu

Hapa kazi tu
Nenda kafanyiwe maombi
shetani kakufunga akili na fikra kuna mtu kakutolea kafara ....wasapoti uvamizi vituo vya tv na redio na wasapoti utekaji nyara wa watu kwa selfish reasons..wasapoti watoa makafara, wasapoti wenye vyeti feki, wasapoti wenye kula deal na wauza madawa ya kulevya ...wasapoti waminyaji uhuru wa vyombo vya habari na demokrasia...wasapoti viongozi feki wa kudanganya watanzania na kutengeneza sinema chafu ili watanzania waogope ..
serious you need prayers...shetan anakuchezea atakavyo ndio mana wewe na wenzio wengine humu hamuoni yani mna macho lakini ni vipofu .....poor you nakuonea huruma wewe na wenzio.humu baadhi mko kwenye shimo reeefu na kutoka huko ni maombi tu ndio yatawaokoa ...
 
Kunywa kipapli[emoji122]
 
Kuna mijitu haijui hata kusoma body language wala psychology ya MTU

MTU anasema hana shida yuko vizuri wakati usoni unaona hofu na mateso ya hali ya juu

Hivi mlimuona Roma akiongea au mnakuja kubwabwaja tu hapa

Mke wake mlimuona alivyochizika?

Roma mlimuona alivyokuwa anashindwa kutembea kwa maumivu makali

Mungu tunaomba uchafu wote Wa viongozi wetu ukawekwe kweupe, tumalize hili tatizo LA uonevu once and for roll
 
Kwa vijana kama wewe tutegemee ví wonder muda si mrefu, hata kama ni mahaba lakini siyo kwa kiasi hiki.
Kwa hoja yako mkuu labda ukubaliwe na akina mama wa vijijini, lakini watu wanaojitambua hapa hutapenya hata chembe.
 
Hapo kwenye guo VP ?walibadilishaje nguo au waliondoka Na mabegi?
 
Hahahaha kikombe cha babu aliwachota wengi kweli kweli, na hii comedy ya roma iko hivyo hivyo maana alianza zito Kabwe, hahahaha hii series wala sio thriller bali ni comedy pasee
 
Mods msipochukua hatua za Haraka, Mtalipoteza Jukwaa letu. Jukwaa letu linakosa hadhi yake ya zamani.

Zile nondo za zamani, siku hizi hakuna kabisa. Watu wanajiandikia tu ili mradi aonekane kaandika Post. Hakuna Facts, Hakuna Source, Hakuna Reference.

Ushauri wangu kwa Mods, tunaomba mturudishie Hadhi ya Jukwaa letu.

 
Hata mm nashangazwa na aina ya utekeja si kawaida watekaji kuchukua mda mrefu kiasi hicho lakini angalia kipengele cha kuchukua tv et Roma aliingia ndan na mtekaji mmoja huku wengine wakibaki nje kitu ambacho c kawaida kwan watekaji nao huogopa kudhurika hivyo hawawez kuruhusu mtu mmoja aende ndan pekee yake lakin pia swala la kutomjua Roma c sahihi mana wateka huenda kuteka wakiwa na picha sahihi ya anayetaka kutekwa ili wasifanye makosa na kumteka mtu mwingine
 


Swali langu Mkuu wa Mkoa ananufaika nini kwa kupanga utekaji huu ? Najaribu kuona faida zake sipati unaweza labda kunisaidia hapo? Yaani kama kweli alishiriki kumteka ili nini?
 
Hp aliyesema watapatikana kabla ya jpili mi namshukuru wamepatikana la muhm aseme amewapataje ht kabla jpili yenyewe haijafkaaa?!
 
Roma kama amesema ataongea na media kesho Nina Imani hiyo press conference haitakuwepo.
 
Wewe kweli ni pimbi, mtekaji amekuja, ili akupate bila wasiwasi atamtumia MTU anaekufahamu ili akupate kwa unahisi, kitendo cha kutumiwa MTU anaekujua hata kama ni mgeni tambua lazima hakiwezi kukupa taarifa, pia hata kama wangeingia wenyewe tambua ile ni ofisi na inapokea wateja aina tofauti wherever know kuwa kuna appointment au hakuna, kabla hujsongea utumbo wako hakikisha hujanywa mtori usijekutuharishia hapa
 

Umechambua vizuri, binafsi nilijiuliza (kwa maelezo ya waliohojiwa pale studio) unaendaje kumteka mtu humjui?
Lakini siku zote napenda version za story kutoka pande zote, hivyo siwezi kuhitimisha kwa fast check yako tuu, tusubiri Roma mwenyewe atasema nini na vyombo vya usalama vitatoa taarifa gani.
 
Kaka huyo jamaa amezoea kuangalia movie za zombie na Bongo Movie..hana analojua kuhusu ujasusi na umafiaso. Msamehe tu ndio Great Thinker hao wapi likizo

Kuna ' Mijitu ' mingine huwa ' inakera ' mno humu Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…