FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

kuhu

kuhusu MAVAZI, tumeambiwa watekaji waliwarudisha akina Roma saa 9 usiku hapo walipo wachukua, baadaye ndio wakapelekwa Ostabay police, yawezekana mda huo ndio Roma kabadilisha mavazi

Kwa studio ni nyumba yake ya pili na ana kabati lake!?

Huko Oysterbay police, nani aliwapeleka? Baada ya kuda gani toka wamerudishwa!? Yaani kuna mengi

Hiyo ya kurudishwa saa 9 nami nimeipata jana, wengine tunasubiri zaidi yaongelewe.
 
Ume crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada
Halafu mtu wa hivyo nae unakuta ni mhitimu wa choo kikuu!Elimu yetu majanga sana.Kama umeenda ni Bashite utamaliza Bashite hivyohivyo ingawa una GPA kubwa.Hata hoja moja kuijenga hawezi.Anaandika tu kama mashairi ya taarabu
 
Haaaa. Yaani wewe mleta uzi umetumwa na nani kuleta uongo humu? Kawaaminishe bashite wenzako wewe. Inaonekana umejiunga Leo ili kupooza maneno!! Kwani watekaji unataka waje na bunduki ndo uamini? None sense
Taratibu mkuu, huyu ni mawazo yake na ni member mbona zaidi ya miaka 5 humu. . tupeane maswali fikirishi na si kumeza na kufurahia kile tunachokipenda tu
 
Mbona maelezo yako yana ukakasi mtoa mada
Unaeleza kuwa -ushuhuda ni wa mwanadada aliyefika muda mchache kabla la gari la watekaji kuondoka.
Sentensi nyingine,mwanadada city anasema ilikuja noah nyeupe na wakashuka watu watatu.
Sasa huyo shahidi anasema alifika muda mchache kabla noah haijaondoka hii inakanisha kipindi yeye anafika noah ilikuwa tayari ipo,sasa habari ya kusema ilikuja noah nyeupe na wakashuka watu watatu inaitoa wapi?
 
Mimi nilipata mashaka pale waliposema wamepewa masharti na waliowateka kwamba waongee baada ya siku mbili toka waachiliwe(yani jumatatu) na wanayaheshimu masharti hayo.

Nilikuwa sijui kuwa watekaji pia walikuwa hawamjui waliyetumwa kumteka.Eti ilibidi wamuulize wewe ni Roma tukuteke?Roma akajibu mimi ndiye.Wakamteka.
Hahahahahahahahaahahahhaahhahaahahhahaaaaaàaa
 
Huyo kijana anger udi tena chuoni akafundushwe literature. Sisi tuliosoma enzi zile tumefundishwa kutafakari mambo au jambo hata moja linaposemwa. Kwa kauli ya turawarudisha wakiwa salama implies mtu au watu waliokuwa wakijua nini kinaendelea. Vile Vile alikuwa akichechemea Siyo kwamba hakupigwa. Sisi tuliookoka pia tutaweza kutambua mambo kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Huyo aliyekutuma kueleza ulichokieleza nina mashaka kama hana PhD kama ya yule alojivua uongozi wa taasisi fulani kwa makubaliano ya malipo fulani yalipokosekana akajirudisha kwa makubaliano ya kupiga ruzuku ya taasisi. Hali hii imeshusha thamani za PhD holders wa masomo mengine except religious knowledge
 
Ume crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada

Ameleta mada gani Mangi hapo, alipokua hapatikani wote tuliamini alikua ametekwa tena na vyombo vya dola, haya kapatikana hukohuko chini ya dola tena Ndani ya kipindi kilichotolewa na DAB, leo MTU mzima na akili zake anatuletea Uzi eti Roma kajiteka. Hizi ndiyo zile akili za kiDAB kuleta mambo ya kitoto mbele ya watu wazima wenye akili zao. Otherwise nawe unayetetea huu Uzi pia una akili za kiDAB.
 
Ume crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada
point taken.mleta uzi mi nimemuelewa sn kwa point zake maelezo ya kina ni muhimu juu ya aina ya utekaji huu.
 
ndiyo maana taifa letu ni miongoni mwa top 5 duniani kuwa na watu wasiokuwa na furaha.

udhalimu tunaugeuza kuwa ni utu wema. and vice versa. baada ya hapo tunajikuta akili zinachangayikiwa!
 
Ume crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada
Kaleta evidence? Kwamba mkuu wa mkoa kwa kuwa ni kijana anajua mambo ya vijana kwa hiyo inawezekana alikuwa anajua kinachoendelea...ndio evidence?
 
Mtoa mada ni moja kati ya vijana wa H.pole pole anaelipwa kuandika aya mtandaoni.
Mlitaka aonekane na nguo alizopigwa nazo?Bashite obviously kaamuru abadili nguo ili movie Inoge.Watanzania wa leo tuna akili nyingi ebu tuache kidogo bana.Tumechoka
 
Nimependa, ngoja nikae mkao mzuri wa kula nisome nikila butter popocorn.

Nimemaliza ungeongezea kuwa kalipwa pia na kuahidiwa mengi na walio nyuma ya kumchafua RC na Raisi wetu. Yote haya ni madawa, upinzania etc

Watanyooka tu

Awamu hii sio ya kujaribu blah blah blah
Wenye vichwa vibovu na mliofungwa fikra na akili ili msione mbele kwa kutolewa kafara ndivo mnavosapotiana hivi
 
Wenye vichwa vibovu na mliofungwa fikra na akili ili msione mbele kwa kutolewa kafara ndivo mnavosapotiana hivi

Ha ha ha haaaaaaaaa wizard

Na wewe unani quote kwa lipi wakati najua unavyoichukia serikali ya awamu hii haswa Raisi wetu na RC wa Dar!?

Mtanyooka tu

Hapa kazi tu
 
Kakado kama hakutekwa sasa alikuwa wapi?? je bashite alijuaje kama angepatikana jana?? ikiwa polisi wenyewe walishindwa kusema atapatikana lini iweje bashite aseme atapatikana siku fulani,msitake kupindisha mambo hapa.
 
Back
Top Bottom