FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

Hata mtu mjinga wa mwisho kuliko punda hawezi kukubali mtazamo wako. Hii ni kwakuwa Rais na huyo mwingine wangetumia vyombo vya ulinzi kuonyesha kwamba hizi zilikuwa njama za kuwachafua!
 
Is it Valentine's Day...maona nyekundu tu...
Fa fa faa
 
Mleta Uzi,yan nataman nikupe tusi moja zito Sana ila kwa Leo nakustah kidogo.Mxiuuuuuu
 
Hapo kwenye guo VP ?walibadilishaje nguo au waliondoka Na mabegi?
Hata wale wasichana 300 wa nigeria hauwezi kusema kuwa hawakuwa wakibadilisha nguo kwa mida wote waliotekwa, mtekwaji anaweza asipigwe hata kdg na akapewa huduma zote vzr hata akitaka mwanamke analetewa, inategemea na lengo la mtekaji" Roma alionekana akitembea kwa shida.
 
Haaaa. Yaani wewe mleta uzi umetumwa na nani kuleta uongo humu? Kawaaminishe bashite wenzako wewe. Inaonekana umejiunga Leo ili kupooza maneno!! Kwani watekaji unataka waje na bunduki ndo uamini? None sense
Ww toa hoja zako usilete mbwembwe zako ktk bandiko la jamaa kama ww unaona amekosea na ww lete bandiko lako kupingana nae siyo kuponda tu.
 
Umekufa kifikra mkuu, mda ulio tumia kuandika ushenzi huu ungekuwa walau umechuja hata maji ya kunywa
 
Reactions: ovi
Matendo haya ya kishenzi yanafanywa na mkulu mwenyewe akishiriana na litoto lake jambazi lililokubuhu libashite
 
Hizi habari si zakuleta humu jF. Kawadanganye labda watu wa bush au ambao hawakwenda shule. Kajiteka na aliyempeleka kumkabidh ni nani?
Matendo haya ya kishenzi yanafanywa na mkulu mwenyewe akishiriana na litoto lake jambazi lililokubuhu libashite
 
Swali muhimu ni hao waliotekwa walipatikana wapi??

Hapo ni wajibu wa police na serikali nzima ambayo imeonekana ikishutumiwa kujinasua katika hili na kuuthibitishia umma kwamba hao vijana walijiteka!
Matendo haya ya kishenzi yanafanywa na mkulu mwenyewe akishiriana na litoto lake jambazi lililokubuhu libashite
 
Huu uzi muhimu sana kuusoma kesho muda wa lunch time nitakuwa nimetulia kabisa
 
Umetumia mda gani kuandaa na kuandika utetezi huu? Bashite Bwana we tulia tuu Roma kasema wataongea na media kesho, hofu ya nini?
Matendo haya ya kishenzi yanafanywa na mkulu mwenyewe akishiriana na litoto lake jambazi lililokubuhu libashite
 
Matendo haya ya kishenzi yanafanywa na mkulu mwenyewe akishiriana na litoto lake jambazi lililokubuhu libashite

Wewe leo umekalia kuirudia hiyo sentensi yako kila kona, usini quote tena kuniandikia upupwu. Kaa uisome namba, hadi meno yako yasagike.

Mtanyooka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…