wewe ndio MuongoTUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
mie nasikia tu risasi,sijui mguu haunyooki,magufuli aleze walionipiga risasi wameenda wapiKama unamsikiliza Lissu vizuri huwa anaeleza hali iliyopita, ilivyo sasa na yeye atafanya nini akichaguliwa.
Kwasababu ndiyo ubongo wako unavyooparatemie nasikia tu risasi,sijui mguu haunyooki,magufuli aleze walionipiga risasi wameenda wapi
wewe ndio Muongo
Magufuli alirudisha nyumbani mabalozi wote,waliotemwa wakatemwa,waliorudi wakarudi na wapya wakaingia
Yupo sahihi kwa kuwa alimfanyia extension,muda wa Masilingi kustaafu umepita bwashee,acha kusema Rais wetu muongo
Kwani angeshindwa kumtumbua na kumchagua mwingine!? Kitendo cha kubaki ni Sawa na kuchaguliwa.Aseme Ukweli
Watu walikuwa wanamsikiliza huku kimoyomoyo wakijisemea huyu mzee haoni haya kupiga watu kamba mchana kweupeee?
Kama anapiga watu kamba kwa vitu obvious kama hivi, Je, ni kweli atatimiza ahadi anazozinadi kwenye kampeni?
Kwa hili HAPANA ndugu yangu.Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.
unakijua kiswahili cha Magufuli?Hajasema alimfanyia extension kasema kamteua.
Kufanya extension haimaanishi kuteua, ni kuextend uteuzi uliopo.
Hata ukifikisha umri wa kustaafu, haustaafu mwenyewe mpaka upewe barua ya kustaafu.
kwani haongeo hayo Manka?Kwasababu ndiyo ubongo wako unavyooparate
unakijua kiswahili cha Magufuli?
Inasaidia nn ?wananchi wanataka ubalozi???Nikuweke sawa mtoa mada, mkuu wa nchi alisema amekuwa akimuongezea muda kuwa balozi kila mara muda wake unapoisha.
Leo huko kigoma amekuwa kituko hakika, ile kauli ya kibabe imeyeyukaMuonee huruma Meko anatafuta sympathy from the audience.
Mkuu Kiranga , during campaign time, what matters most is not about facts, just politics.Magufuli hana interest sana na facts, ana interest na siasa.
Kumbe sio kila jungu lina ukoko.Mkuu Kiranga , during campaign time, what matters most is not about facts, just politics.
P
Mkuu Kiranga , during campaign time, what matters most is not about facts, just politics.
P
Kwani chizi anapokaa bila ya kuoga inakuwaje? Yeye si anaona kawaida tu!Kwa nini adanganye ili iweje ?? Kwa manufaa ya nani huyo uongo? Hatutaki viongozi waongo
oktoba utajua kuwa hujui kuchambuaMkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.
Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tibaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, Rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteua Masilingi.
Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.
Nawashauri Watanzania wenzangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 28 tusifanye makosa!.
P
Baada ya October nikumbushe nikupe pole yako!.oktoba utajua kuwa hujui kuchambua
Mkuu Kiranga, what matters most to Tanzanians.Mkuu,
What matters most to whom?
In any case, Magufuli "being economic with the truth" is not limited to campaign time.
Yani rais mpinga rushwa anakataza CAG asikague vitabu vya ATCL?
Rais mtetezi wa wanyonge anasema atawapiga wapinzani mpaka shangazi zao, na hapo hapo anasema maendeleo hayana chama, na hapo hapo anasema msipomchagua mgombea wa CCM hamtapata maendeleo?
Is this directionless pitter-pattering what passes for politics these days?
Jamaa anajipendekeza kupitiliza kisa kutafuta uteuzi.Inaelekea hujaisikiliza hiyo clip vizuri, au kama umeisikiliza umeamua kuweka pamba masikioni.
Magufuli anasema alimteua Masilingi kuwa balozi baada ya kumaliza ubunge wake, ukweli ni kwamba Masilingi alikuwa balozi Netherands kuanzia mwaka 2013 hadi 2015, wakati huo Magufuli ni waziri katika serikali ya Kikwete
Kisha Masilingi akateuliwa na Kikwete mwaka 2015 mwezi Agosti kuwa balozi wa Tanzania Marekani. Kwa hiyo JPM anavyodai kuwa alimteua Masilingi kuwa balozi baada ya ubunge wake siyo kweli. Ni kikwete ndiye aliyemteua.
Tunataka Raisi msema kweli
Duh, Mkuu Kishina cha Mshahara, mtu anayejipendekeza kupitiliza ili kutafuta uteuzi, si kazi yake itakuwa ni kusifu tuu?!, atathubutu kukosoa?. Mimi humu kila siku ni mkweli daima, kwenye mazuri, nitasifu, na kwenye mabaya nitakosoa.Jamaa anajipendekeza kupitiliza kisa kutafuta uteuzi.