Fact Checking: Rais Magufuli hukumteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya kumaliza Ubunge wa Muleba

Fact Checking: Rais Magufuli hukumteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya kumaliza Ubunge wa Muleba

Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.

Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tibaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, Rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteua Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.

Nawashauri Watanzania wenzangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
Unamuwaza malisa eh?
 
Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.

Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.

Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.

Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.

Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.

Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!

Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:

View attachment 1572029

Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:

View attachment 1572036

TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
Lakini si wanaona wananchi ni wadanganyika? Acha wapige uongo washangiliwe wapewe na kura waende kula.
 
..huyu mzee ni muongo tangu akiwa waziri.

..tatizo waTz mlikuwa hamchunguzi kauli zake.
 
Safi! Hii ndo aliyokua anasema Lissu....Magufuli akabiliwe kila kona. Yan hata akipumua tu watokee watu wa kumkana aurudishe ndani, akabiliwe kwelikweli.
 
Kama huelewi taratibu za uteuzi ni bora ukakaa kimya!
Ni kweli, manake Rais mpya anapoingia madarakani basically appointment zote zinakuaga VOID ili kumruhusu aunde kikosi KAZI chake, baadhi uwa ana retain na wengine anawapotezea, so angeweza kumwambia arejee Tanzania but akamteua kuendelea na muda ulipoisha akamteua tena.
 
Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.

Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.

Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.

Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.

Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.

Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!

Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:

View attachment 1572029

Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:

View attachment 1572036

TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
giphy.gif
 
Labda Rais akitoka madarakani na mabalozi nao wanatoka ubalozini, hiyo ni kulingana na uelewa finyu wa Meko kwenye eneo zima la Uraia na maadili.
Actually that is the case...Rais mpya anapoingia madarakani teuzi zote zinakua void ili kumpa fursa ya kuunda kikosi KAZI chake..mwenye ufinyu katka hili sio Magufuli..
 
Muone huruma Meko anatafuta sympathy from the audience.
Ni vema na maandishi ' nasema kweli, kweli ya Mungu' yasinukuliwe tena, na yafutwe kila yaliponukuliwa. Na yote haya ni kwa sababu wagombea hawatumii muda kunadi sera na ilani za uchaguzi wa vyama vyao. Magufuli kutwa TBC anaeleza historia kwa takwimu fake na ahadi bandia, Lisu anaelezea madhaifu ya tawala zilizopita na uliopo kana kwamba watu hawajui.
 
Ni kweli, manake Rais mpya anapoingia madarakani basically appointment zote zinakuaga VOID ili kumruhusu aunde kikosi KAZI chake, baadhi uwa ana retain na wengine anawapotezea, so angeweza kumwambia arejee Tanzania but akamteua kuendelea na muda ulipoisha akamteua tena.

Nani kakwambia hilo?
Hujui kuwa uraisi ni taasisi?

Hujui kuwa rais anaweza akateua mtu asubuhi, akamwapisha mchana kisha usiku akafa then madaraka ya rais yakashikwa na mtu mwingine kesho yake. Unafikiri akiingia raisi mwingine teuzi zoooote zilizopita zinakuwa Void?

Ofisi ya Rais ni taasisi, watu wanaokalia ofisi hiyo hubadilia lakini ofisi huendelea kuwepo
 
Nani kakwambia hilo?
Hujui kuwa uraisi ni taasisi?

Hujui kuwa rais anaweza akateua mtu asubuhi, akamwapisha mchana kisha usiku akafa then madaraka ya rais yakashikwa na mtu mwingine kesho yake. Unafikiri akiingia raisi mwingine teuzi zoooote zilizopita zinakuwa Void?

Ofisi ya Rais ni taasisi, watu wanaokalia ofisi hiyo hubadilia lakini ofisi huendelea kuwepo
Hivi unazijua vizuri KAZI za Balozi?, Je watambua kwamba Rais ni Taasisi lakini Taasisi sio Rais?
 
Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.

Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tibaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, Rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteua Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.

Nawashauri Watanzania wenzangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
Pascal ndugu kuna nafasi zinakoma baada ya raisi aliyepo madarakani kuondoka. Ubalozi sio ila raisi mpya ana madaraka ya kukuita urudi kama hatapendezwa na were. Kwenye barua ya appointment unaandikiwa unatakiwa kuingia kituoni link na kutoka lini. Alichoweza kufanya mheshimiwa ni kutomrecall na kumwongezea mkataba. Hivyo initial hakumchagua yeye. Alichaguliwa na mtangulizi wake
 
Uongo
Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.

Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tibaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, Rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteua Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.

Nawashauri Watanzania wenzangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
 
Ni vema na maandishi ' nasema kweli, kweli ya Mungu' yasinukuliwe tena, na yafutwe kila yaliponukuliwa. Na yote haya ni kwa sababu wagombea hawatumii muda kunadi sera na ilani za uchaguzi wa vyama vyao. Magufuli kutwa TBC anaeleza historia kwa takwimu fake na ahadi bandia, Lisu anaelezea madhaifu ya tawala zilizopita na uliopo kana kwamba watu hawajui.
Kama unamsikiliza Lissu vizuri huwa anaeleza hali iliyopita, ilivyo sasa na yeye atafanya nini akichaguliwa.
 
Back
Top Bottom