Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Tajeni basi hizo nyimbo za bongofleva 1994. Mnabishana bila factsKaka achana nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tajeni basi hizo nyimbo za bongofleva 1994. Mnabishana bila factsKaka achana nae
Tuimbie kidogounawajua BDP ? unaujua wimbo wao wa Rudi Mpenzi ?
Huijui bongofleva omba upewe elimu.kina BDP walianza kuBongoFleva (rejea Rudi Mpenzi ) tangu miaka ya 1994 huko, Dully kaanza mwishoni mwa 1998 kisha uanzilishi uende kwake ?
Yes alete wimbo wa bongofleva wa mwaka 1994.1994 Hakukuwa na bongo flavor leta ushahidi
kama kawaida yako, ni taarab tu huna hojaHuijui bongofleva omba upewe elimu.
Nimeweka link fungua,nyimbo ya mawingu band imerekodiwa mwaka 1992..inaitwa siamini ambayo TID ka sampleTajeni basi hizo nyimbo za bongofleva 1994. Mnabishana bila facts
Hii nyimbo ya 1994 ama ya 2000sunawajua BDP ? unaujua wimbo wao wa Rudi Mpenzi ?
Rudi mpenzi ni wimbo wa ragamaffin alafu umetoka miaka ya 2000 sio 1994. Rekebisha facts zako then tujadili kuhusu bongofleva.kina BDP walianza kuBongoFleva (rejea Rudi Mpenzi ) tangu miaka ya 1994 huko, Dully kaanza mwishoni mwa 1998 kisha uanzilishi uende kwake ?
Sikiliza tena hio nyimbo, ni R&B, hatubishani watu kuimba tunabishana kuzaliwa Bongo flavor aka Wabana pua.Nimeweka link fungua,nyimbo ya mawingu band imerekodiwa mwaka 1992..inaitwa siamini ambayo TID ka sample
nabishana na watoto hapa kwa kweliHii nyimbo ya 1994 ama ya 2000s
Huu umetoka 1994?Ewaa..asante
Wewe haupo objective. Nilitaka kukuelewesha lakini nimeghairi kuona unakaza fuvuRudi mpenzi ni wimbo wa ragamaffin alafu umetoka miaka ya 2000 sio 1994. Rekebisha facts zako then tujadili kuhusu bongofleva.
Kuna mambo unaweza nielimisha ila sio bongofleva.Wewe haupo objective. Nilitaka kukuelewesha lakini nimeghairi kuona unakaza fuvu
Baba mwajuma,dully uyu aliyeimba mwajuma,watu 12 wamempiga bomba.ata Mimi ningekataaSikiliza tena hio nyimbo, ni R&B, hatubishani watu kuimba tunabishana kuzaliwa Bongo flavor aka Wabana pua.
Boss sisi hiyo bongofleva hatujasikia kwa watu,tumeishi humo...Kuna mambo unaweza nielimisha ila sio bongofleva.
Umeambiwa lete ushahidi unaanza ku belittle watunabishana na watoto hapa kwa kweli
chini ya BoniLove(+Marlon), Mawingu StudioHuu umetoka 1994?