mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mwepesi sana we dogoAmeimba wimbo upi?
Mike na taji liundi ndy waanzilishi
Wa kutoa jina la bongofleva
We mtoto wa miaka 97--2000 shida sana
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwepesi sana we dogoAmeimba wimbo upi?
Sasa yeye miaka y 99 huko ndy anazaliwa sinza pazuriAhsante kwa kunitoa akili, kwanza naomba kuufahamu tafadhari. Naomba nikukumbushe ewe kizazi cha manifongo. Huo muziki wenu hapo kabla uliitwa "kigodoro" baadae ukaitwa "kiduku" na sasa hivi mnauita singeli. Mnanda hapo kabla uliitwa mchiriku. Aliyeunzisha huu muziki wa kibongo bongo "bongo fleva" ni SALEHE JABIRI, jina la kwanza kabisa alilolianzisha ni SWAHILI RAP, hiyo ni miaka ya 88, 89, 90, 91 mpk 92,
Wameimba nyimbo zipi?Mwepesi sana we dogo
Mike na taji liundi ndy waanzilishi
Wa kutoa jina la bongofleva
We mtoto wa miaka 97--2000 shida sana
Ova
Bila wao mziki wenu huo msingeusikia redioniWameimba nyimbo zipi?