Fact: Prince Dully Sykes ndio muanzilishi wa muziki wa bongofleva

Fact: Prince Dully Sykes ndio muanzilishi wa muziki wa bongofleva

Boss sisi hiyo bongofleva hatujasikia kwa watu,tumeishi humo...
Umecopy Wikipedia story feki ukaweka humu, Hip hop haijawahi asilani kuwa Bongo flavor danganyeni watoto wa juzi.

Mimi kama mtu nilieshi huo muda ama mtafute mtu yoyote humu ambaye anaelewa history ya mwisho wa 90 mwanzo wa 2000s, mtu wa hip hop asilani alikataa kuitwa Bongo Flavor, kulikua na Hip hop ya kina sugu, R&B ya kina Mr Paul na wenzie na kukaja Bongo Flavor.

Wakati huo Bongo Flavor ilikuwa na Exclusive kwa Wabana pua.
 
Sawa baba mwa j Ila album ya Kwanza ya dully historia ya kweli imetoka mwaka 2003
 
Mtoa mada anamaanisha katka kipindi ambacho vijana wengi wanachana. Dully alikua wa kwanza kuimba imba.
 
Umecopy Wikipedia story feki ukaweka humu, Hip hop haijawahi asilani kuwa Bongo flavor danganyeni watoto wa juzi.

Mimi kama mtu nilieshi huo muda ama mtafute mtu yoyote humu ambaye anaelewa history ya mwisho wa 90 mwanzo wa 2000s, mtu wa hip hop asilani alikataa kuitwa Bongo Flavor, kulikua na Hip hop ya kina sugu, R&B ya kina Mr Paul na wenzie na kukaja Bongo Flavor.

Wakati huo Bongo Flavor ilikuwa na Exclusive kwa Wabana pua.
Unaijua vizuri sana bongofleva.
 
View attachment 2921186

Watu wengi hawajui historia ya muziki wa bongofleva na hawajui umeanzia wapi.

Fact ni kwamba muasisi wa muziki wa bongofleva ni Prince Dully Sykes aka Mr Misifa.

Sound hii unayoiskia leo ya bongofleva (baibuda) ilianzia kwa Dully.

Kwa wasio na ufahamu, bongofleva ni muziki wa kizazi kipya uliozaliwa Dar es Salaam miaka ya 2000 ukiwa na mchanganyiko wa radha ya mwambao, midundo ya zouk, rhumba, dancehall na chakachaka. Na muasisi wake ni Dully Sykes.

Ni vema hizi facts zikawekwa sawa sababu ya kulinda historia ya bongofleva.
Pia usichanganywe muziki wa bongofleva na aina zingine kama hiphop,reggae, sokousss, RnB, jazz nk
Asanteni!
Baada ya kusoma kichwa Cha habari, nilitarajia ndani utakuwa umeweka maelezo yanayoonesha ni kwanini unasema Dully ndio muasisi.
 
Sawa baba mwa j Ila album ya Kwanza ya dully historia ya kweli imetoka mwaka 2003
Sijasema kama Dully ni msanii wa Mwanzo kabisa, huyo ni mtoa mada, point yangu ni kwamba hip hop za 90s hazikua bongo flavor, bongo flavor ilikuja baadae baada ya mziki wa kubana pua kuanza.
 
Umecopy Wikipedia story feki ukaweka humu, Hip hop haijawahi asilani kuwa Bongo flavor danganyeni watoto wa juzi.

Mimi kama mtu nilieshi huo muda ama mtafute mtu yoyote humu ambaye anaelewa history ya mwisho wa 90 mwanzo wa 2000s, mtu wa hip hop asilani alikataa kuitwa Bongo Flavor, kulikua na Hip hop ya kina sugu, R&B ya kina Mr Paul na wenzie na kukaja Bongo Flavor.

Wakati huo Bongo Flavor ilikuwa na Exclusive kwa Wabana pu

Sijasema kama Dully ni msanii wa Mwanzo kabisa, huyo ni mtoa mada, point yangu ni kwamba hip hop za 90s hazikua bongo flavor, bongo flavor ilikuja baadae baada ya mziki wa kubana pua kuanza.
Nimeuliza,Kati ya daz nundaz na dully Nani alianza kutoka??
 
Nimeuliza,Kati ya daz nundaz na dully Nani alianza kutoka??
My point is it doesnt matter kama ni Dully, Daz Nunda, ama msanii mwengine inawezekana mmoja kamzidi mwenzake mwaka ama miaka 2, ila Bongo flavor imeanzishwa na wao na sio hao wa kongwe wa 90.

Kujibu swali lako sijui kati ya Daz Nunda na Dully Nani wa kwanza.
 
My point is it doesnt matter kama ni Dully, Daz Nunda, ama msanii mwengine inawezekana mmoja kamzidi mwenzake mwaka ama miaka 2, ila Bongo flavor imeanzishwa na wao na sio hao wa kongwe wa 90.
Point yangu ilikua ni Kama dully ndio muanzilishi,na daz ndio wameanza kutoka,wakina ferouz walikua wanaimba aina gani ya mziki???..
 
miaka ya 90 huko waimba bongo fleva wengi kina mtoto wa Dandu,Mr Pol,TID wengi walikua wakiimba kwenye mabonanza hasa viwanja vya Leaders.
 
Yote kwa yote huyu dully anastahili heshima kwenye huu mziki wa bongo wazee. Apewe maua yake
 
View attachment 2921186

Watu wengi hawajui historia ya muziki wa bongofleva na hawajui umeanzia wapi.

Fact ni kwamba muasisi wa muziki wa bongofleva ni Prince Dully Sykes aka Mr Misifa.

Sound hii unayoiskia leo ya bongofleva (baibuda) ilianzia kwa Dully.

Kwa wasio na ufahamu, bongofleva ni muziki wa kizazi kipya uliozaliwa Dar es Salaam miaka ya 2000 ukiwa na mchanganyiko wa radha ya mwambao, midundo ya zouk, rhumba, dancehall na chakachaka. Na muasisi wake ni Dully Sykes.

Ni vema hizi facts zikawekwa sawa sababu ya kulinda historia ya bongofleva.
Pia usichanganywe muziki wa bongofleva na aina zingine kama hiphop,reggae, sokousss, RnB, jazz nk
Asanteni!
Radha = ladha. Huu ujinga kawaambie watoto wenzako.
 
Wape heshima wakina Mike mhagama
Na taji liundi hao ndiyo walipush na kuja na idea ya bongo flavour

Ova
 
Umecopy Wikipedia story feki ukaweka humu, Hip hop haijawahi asilani kuwa Bongo flavor danganyeni watoto wa juzi.

Mimi kama mtu nilieshi huo muda ama mtafute mtu yoyote humu ambaye anaelewa history ya mwisho wa 90 mwanzo wa 2000s, mtu wa hip hop asilani alikataa kuitwa Bongo Flavor, kulikua na Hip hop ya kina sugu, R&B ya kina Mr Paul na wenzie na kukaja Bongo Flavor.

Wakati huo Bongo Flavor ilikuwa na Exclusive kwa Wabana pua.
Wakati huo walikuwepo wakina nigaz 2 public ndani,wagumu weusi asilia,dar young mob sugu ndani, wakina mak muga, kwqnza unit
Ndy wakaja wabana pua hili nenobongo fleva wakina Mike mhagamandy walilileta huko redioni
Watoto sahv hawajui historia ya mziki wao wanajua diamond ndy mwanzilishi wa mziki tz 😄
Ukiwambia zamani walikuwepo wakina kin&Boyz wanaanda matamasha concerts na huyu dada sahv yuko ikulu zuhura yunus

Ova
 
Back
Top Bottom