FACTS 11: Kama wanasayansi wangesoma BIBLIA, Technology ya sasa ingekuwa Zamani Sana

FACTS 11: Kama wanasayansi wangesoma BIBLIA, Technology ya sasa ingekuwa Zamani Sana

unapotuhumiwa huwezi kuwa shahidi kwa kesi yako
kwani hii ni case mkuu, umtuhumu mji uliomo kwenye bibilia haupo kwenye ramani ya bibilia hiyohiyo ili ujustfy kutokuwepo kwa mji huo. Bibilia hiyohiyo imekujibu sio tu mji bali hata UZ mwenyewe yupo ndani ya biblical geneology kesi za nini tena.
 
kwani hii ni case mkuu, umtuhumu mji uliomo kwenye bibilia haupo kwenye ramani ya bibilia hiyohiyo ili ujustfy kutokuwepo kwa mji huo. Bibilia hiyohiyo imekujibu sio tu mji bali hata UZ mwenyewe yupo ndani ya biblical geneology kesi za nini tena.
bibilia haiwezi toa majibu wakati ndio inayotuhumiwa
 
hivi mpagani maana yake nini? nambie plz
Pagan - a person holding religious beliefs other than those of the main world religions(Islam, christianity, hinduism, judaism, budha). Hii ni tafsiri ya awali ila ukienda ndani zaidi utakuta kwa wakristo mtu yoyote asieamini katika bibilia na mambo yake, au kwa waislam mtu yoyote asiyeamini katika imani yao ingawa wao wanajina lao tofauti.
Maana ya mpagani ni pana hili suala hata wewe unaweza kufuatilia na kung'amua kile ambacho wewe utaona kinakufaa
 
kwanini wajapani na wachina wameendelea ili hali hawafuati Mungu wa bibilia yako kwanini?
Huku ni kwingine tena unaenda.
Wajapani waliendelea siku Iwakura Tomomi waziri mkuu alipoondoka japani na meli pamoja na Top officials wake waliokwenda eastern europe na kujifunza mambo ambayo walikuja kuyapractice kwao na kusababishwa wawe na nguvu ya kuteka nchi zote kuanzia ufilipino korea hadi china. China iliendelea baada ya Deng Xioping Kuja na Sera ya Reform and Opening up badala ya Cultural revolution ya mao iliyoua watu zaidi ya Mil40.

Kama wanadamu wameumbwa na Mungu na Akili timamu bado hata bila dini waliweza kutumia akili yao kuyatawala mazingira hata kabla ya kufanyika kilichoelezwa hapo juu maana walikitoa Ulaya.
Sioni wala sijui unataka nini.
Mungu wa Bibilia anajihusisha na kila mwanadamu uwe humuamini au unamuamini unamtaka au humtaki. Ndio maana hata kwenye bibilia alimteua Koreshi awe mfalme wa Medo-persia miaka mingi hata kabla hajazaliwa japo walikuwa hawana uhusiano wowote na yeye.
God has Complex ways to excute his wills and plans mkuu.
 
bibilia haiwezi toa majibu wakati ndio inayotuhumiwa
Ndio maana mkuu ungejua hilo usingesema mji wa UZ haumo kwenye bibilia ili kujustfy maoni yako kuwa kitabu cha ayubu ni cha kutungwa kwa evidence ya Ramani iliyomo kwenye bibilia. Hapo lazima hakimu aruhusu bibilia maana mtuhumu anatumia bibilia hiyohiyo kutuhumu
 
Pagan - a person holding religious beliefs other than those of the main world religions(Islam, christianity, hinduism, judaism, budha). Hii ni tafsiri ya awali ila ukienda ndani zaidi utakuta kwa wakristo mtu yoyote asieamini katika bibilia na mambo yake, au kwa waislam mtu yoyote asiyeamini katika imani yao ingawa wao wanajina lao tofauti.
Maana ya mpagani ni pana hili suala hata wewe unaweza kufuatilia na kung'amua kile ambacho wewe utaona kinakufaa
kwako ww upagani nini?
 
kwako ww upagani nini?
sijajua matiki na unachokitaka kutoka kwangu. ungeweka lengo wazi kwanza ndio nipate uwazi mkubwa wa kukufahamisha maoni yangu unayohitaji na sio lazima yafanane na kikundi flani cha watu au jumuia ya kidini.

Lakini ukumbuke anayeamini Mungu hayupo sio mpagani, Kwa bibilia anatambulishwa kama Mpumbavu (Mbumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu Zaburi 14:1)
 
Huku ni kwingine tena unaenda.
Wajapani waliendelea siku Iwakura Tomomi waziri mkuu alipoondoka japani na meli pamoja na Top officials wake waliokwenda eastern europe na kujifunza mambo ambayo walikuja kuyapractice kwao na kusababishwa wawe na nguvu ya kuteka nchi zote kuanzia ufilipino korea hadi china. China iliendelea baada ya Deng Xioping Kuja na Sera ya Reform and Opening up badala ya Cultural revolution ya mao iliyoua watu zaidi ya Mil40.

Kama wanadamu wameumbwa na Mungu na Akili timamu bado hata bila dini waliweza kutumia akili yao kuyatawala mazingira hata kabla ya kufanyika kilichoelezwa hapo juu maana walikitoa Ulaya.
Sioni wala sijui unataka nini.
Mungu wa Bibilia anajihusisha na kila mwanadamu uwe humuamini au unamuamini unamtaka au humtaki. Ndio maana hata kwenye bibilia alimteua Koreshi awe mfalme wa Medo-persia miaka mingi hata kabla hajazaliwa japo walikuwa hawana uhusiano wowote na yeye.
God has Complex ways to excute his wills and plans mkuu.
nimekupa, lkn hujajibu swali langu hao wajapani na wachina wameyapataje hayo wakati hawamwamini huyo mungu wako, je ni Mungu Ibrahimu ndiye aliyewapa? au ni Mungu mwingine?
 
sijajua matiki na unachokitaka kutoka kwangu. ungeweka lengo wazi kwanza ndio nipate uwazi mkubwa wa kukufahamisha maoni yangu unayohitaji na sio lazima yafanane na kikundi flani cha watu au jumuia ya kidini.

Lakini ukumbuke anayeamini Mungu hayupo sio mpagani, Kwa bibilia anatambulishwa kama Mpumbavu (Mbumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu Zaburi 14:1)
aaaaah mbona wakwepa? nimekuuliza na nakuuliza tena upagani nini maana yake?
km hujui maana usipotoshe umma,
 
Ndio maana mkuu ungejua hilo usingesema mji wa UZ haumo kwenye bibilia ili kujustfy maoni yako kuwa kitabu cha ayubu ni cha kutungwa kwa evidence ya Ramani iliyomo kwenye bibilia. Hapo lazima hakimu aruhusu bibilia maana mtuhumu anatumia bibilia hiyohiyo kutuhumu
hii mada mfu, hivi wewe unaweza kujitolea ushahidi kotini? km ipo koti itakayo kubali mtuhumiwa kujitolea ushahidi basi hiyo koti ni ya wendawazimu
 
aaaaah mbona wakwepa? nimekuuliza na nakuuliza tena upagani nini maana yake?
km hujui maana usipotoshe umma,
Mpagani ukiniuliza mimi ninaamini kulingana na Bibilia inavyotaka niamini.
Kwanza Paganism =watu wenye miungu mingi.
Ila mimi naamini ni Mtu yoyote asiyeamini Katika Mungu kama anavyotambulishwa kwenye bibilia, na anaamini vitu vingine mfano akili zake, sanamu, mali, na anapaswa kufahamishwa ili achague au akatae kwa utashi wake mwenyewe.
 
hii mada mfu, hivi wewe unaweza kujitolea ushahidi kotini? km ipo koti itakayo kubali mtuhumiwa kujitolea ushahidi basi hiyo koti ni ya wendawazimu
kubali tu ulikosea kuuliza au kuipa changamoto bibilia kwa kutoa reference kwenye bibilia hiyohiyo kujusfy tuhuma zako. mwenye uhalali wa kusema hayo sio wewe bali ni icemanD ambaye hajaihusisha bibilia kwenye kujengea hiy0 tuhuma yake
 
Mpagani ukiniuliza mimi ninaamini kulingana na Bibilia inavyotaka niamini.
Kwanza Paganism =watu wenye miungu mingi.
Ila mimi naamini ni Mtu yoyote asiyeamini Katika Mungu kama anavyotambulishwa kwenye bibilia, na anaamini vitu vingine mfano akili zake, sanamu, mali, na anapaswa kufahamishwa ili achague au akatae kwa utashi wake mwenyewe.
Neno Mpagani, Mmataifa, na Kafiri ni matusi yakumtukanisha mwafrika, hao waiziraeli wako walikubagua wakasema Mungu wa Ibrahimu ni mali yao, wakakuita wewe mmataifa, ukristo ulipofika ulaya wewe mtu mweusi uliyeungua wakakuita mpagani, kwa sababu hukubaliana na itikadi yao (Ukristo), waarabu walipoanzisha dini wakakutukana na kukuita kafiri
MPAGANI
MMATAIFA ni maneno yaliyo ndani ya bibilia yako, maneno ya kibaguzi, wakati Mungu SUPER NATURAL POWER sio mbaguzi (nguvu ya asili), isome vyema bibilia yako, Bibilia ni kitabu kilichoandikw na wayahudi waliokuwa wakijenga taifa lao, Mungu huyu wa IBRAHIM, ISAKA NA YAKOBO ana kiri kuwapo miungu wenye hadhi km yake, wakati wana wa Izirieli wakiwa jangwani akiwaasa wasiwafuate MIUNGU MINGINE kwa sababu MIUNGU WENGNE WALIGOMA KUMSAIDIA MUNGU WA IBRAHIMU kuwaondoa wana wa iziraeli kutoka Misiri, inawezekana kugoma kwa Miungu wengine kumsaidia Mungu wa Ibrahimu kuwatoa wana wa iziraeli kutoka utumwani, huenda MUNGU WA IBRAHIMU alikuwa JEURI.

neno MMATAIFA, MPAGANI NA KAFIRI ni maneno ya matusi yenye asili ya Babeli, nchi ya asili ya Semitics ambayo ni nchi asili ya waarabu na wayahudi, historia inasema watu hawa asili yao ni jeuri, tangu awali na bado wanauendeleza, waiziraeli walipokuwa wanauda taifa lao walichukua maneno mazuri na mabaya wakaweka pamoja wakadai yote ni ya Mungu, ukisoma bibilia imeandikwa hivi usipotoa ZAKA na SADAKA utalaaniwa, nakuuliza nani anaye mtegemea mwenzake? MUNGU AU BINADAMU
 
nimekupa, lkn hujajibu swali langu hao wajapani na wachina wameyapataje hayo wakati hawamwamini huyo mungu wako, je ni Mungu Ibrahimu ndiye aliyewapa? au ni Mungu mwingine?
Kwa ufupi Warumi 2:13;
Mungu atawahukumu watu wote kwa kadili ya mwanga mdogo walionao na Mungu anajishughulisha sio tu na hawa wajapani unaodhani ni special sana bali hadi Wasandawe wanaokula mizizi.Nao kwao wanamabaya yao na mazuri yao na wana haki zao na kuvunja wa haki kwa uwelewa wao huo mdogo kuhusu Mungu. Hakuna wa kukwepa.

Mifano ipo Mingi tu katika bibilia.
1:Matendo, Centurion aliyekuwa hamjui Mungu wala bibilia lakini alihisi kuna kitu kama hicho akawa anatoa sadaka na kusali Mungu akamsikia na Kumtuma mtu amuelekeze nini chakufanya.
2:Mungu aliteua taifa dogo la izrael kama sample ndogo ili baadae watumke kusambaa dunia nzima kumuelezea badala yake wengine walikataa hadi leo na Baadhi walimkubali Na kusambaa kueneza Ujumbe kama Paulo na wengine, Na leo hizi habari zimefika kila kona ya dunia kwa ukamilifu au uhafifu wake lakin hakuna excuse ila ukikataa kataa at your own risk
 
Kwa ufupi Warumi 2:13;
Mungu atawahukumu watu wote kwa kadili ya mwanga mdogo walionao na Mungu anajishughulisha sio tu na hawa wajapani unaodhani ni special sana bali hadi Wasandawe wanaokula mizizi.Nao kwao wanamabaya yao na mazuri yao na wana haki zao na kuvunja wa haki kwa uwelewa wao huo mdogo kuhusu Mungu. Hakuna wa kukwepa.

Mifano ipo Mingi tu katika bibilia.
1:Matendo, Centurion aliyekuwa hamjui Mungu wala bibilia lakini alihisi kuna kitu kama hicho akawa anatoa sadaka na kusali Mungu akamsikia na Kumtuma mtu amuelekeze nini chakufanya.
2:Mungu aliteua taifa dogo la izrael kama sample ndogo ili baadae watumke kusambaa dunia nzima kumuelezea badala yake wengine walikataa hadi leo na Baadhi walimkubali Na kusambaa kueneza Ujumbe kama Paulo na wengine, Na leo hizi habari zimefika kila kona ya dunia kwa ukamilifu au uhafifu wake lakin hakuna excuse ila ukikataa kataa at your own risk
HUO NI UPUUZI Taifa la Mungu ni mtu yeyote yule anayetenda mema,
ukisema Iziraeli ni Taifa la Mungu huko hakuna WASENGE, MACHANGUDOA, WEZI, WASAGAJI, WAKATILI? km wapo na hao ni watakatifu?
 
Mwenzako kalikimbia hili swali, msaidie:

Biblia ina "contain" mpaka "pornography" jee, unalikataa hilo?
Mwenzangu nani?

Tangu umeanza kujipigia hili shairi na kucheza mwenyewe sijaona mahali uliposema "hizi ponography zilizoko kwenye Biblia hizi hapa" naona unaendelea tu kujitekenya hapa...

Weka unachodhani kipo ndani ya Biblia tukichambue hapa acha porojo....
 
Neno Mpagani, Mmataifa, na Kafiri ni matusi yakumtukanisha mwafrika, hao waiziraeli wako walikubagua wakasema Mungu wa Ibrahimu ni mali yao, wakakuita wewe mmataifa, ukristo ulipofika ulaya wewe mtu mweusi uliyeungua wakakuita mpagani, kwa sababu hukubaliana na itikadi yao (Ukristo), waarabu walipoanzisha dini wakakutukana na kukuita kafiri
MPAGANI
MMATAIFA ni maneno yaliyo ndani ya bibilia yako, maneno ya kibaguzi, wakati Mungu SUPER NATURAL POWER sio mbaguzi (nguvu ya asili), isome vyema bibilia yako, Bibilia ni kitabu kilichoandikw na wayahudi waliokuwa wakijenga taifa lao, Mungu huyu wa IBRAHIM, ISAKA NA YAKOBO ana kiri kuwapo miungu wenye hadhi km yake, wakati wana wa Izirieli wakiwa jangwani akiwaasa wasiwafuate MIUNGU MINGINE kwa sababu MIUNGU WENGNE WALIGOMA KUMSAIDIA MUNGU WA IBRAHIMU kuwaondoa wana wa iziraeli kutoka Misiri, inawezekana kugoma kwa Miungu wengine kumsaidia Mungu wa Ibrahimu kuwatoa wana wa iziraeli kutoka utumwani, huenda MUNGU WA IBRAHIMU alikuwa JEURI.

neno MMATAIFA, MPAGANI NA KAFIRI ni maneno ya matusi yenye asili ya Babeli, nchi ya asili ya Semitics ambayo ni nchi asili ya waarabu na wayahudi, historia inasema watu hawa asili yao ni jeuri, tangu awali na bado wanauendeleza, waiziraeli walipokuwa wanauda taifa lao walichukua maneno mazuri na mabaya wakaweka pamoja wakadai yote ni ya Mungu, ukisoma bibilia imeandikwa hivi usipotoa ZAKA na SADAKA utalaaniwa, nakuuliza nani anaye mtegemea mwenzake? MUNGU AU BINADAMU
naona umeamua sasa kuleta stori za kwenye vijiwe vya kahawa. Huko huwa tunasukuma muda tu chief.
Nilikuomba reference japo kidogo ya hizo tungo zako unazozing'ang'ania lakini naona unaendelea kutiririka tu.
Usirahishe mambo kihivyo mkuu.

Neno Mpagani, Mmataifa, na Kafiri ni matusi yakumtukanisha mwafrika,
Mpagani/Mmataifa (Kafiri wataeleza wahusika)= Non - ISraelites sio tu Mtu Mweusi kama unavyoeleza
Webster's New Collegiate Dictionary Gentile= "relating to the nations at large, as distinguished from the Jews."
Ushahidi kwenye bibilia hiyohiyo Wapagani/Wamataifa wameitwa Wasamalia(sio weusi),Wagiriki(Sio weusi),Waarabu(Sio weusi), Wa-italiano (Sio weusi hawa ni wazungu), Wagalatia,
Hapa ninachokiona unataka kuwatetea watu weusi kwa vigezo ambavyo sio sahihi. Hebu weka hoja zako vizuri. Yaani Muda hautoshi kufunguka kila kitu Mungu alimwambia Ibrahim Atakuwa Baba wa Mataifa yote Hao waisrael hawana chochote walipewa upendeleo kama njia tu ya kufikishia ujumbe wakajisahau. Ndio maana Ibrahimu Alimzaa Isaka na Ishmail, Ishmail akazaa wengi tu, Haya Isaka akamzaa yakobo (Israel) na Hesau. Kama ni wabaguzi Kwa nini Kiongozi wa msafara Musa alikuwa na Mke mwafrika/mweusi?. Bado Abrahamu alipofiwa na mke wake sara akamuoa Ketura (waisrael hawakuwepo), Ketura akawazaa Midian, Jokshan, Zimran, Ishbak, Medan, Shuah, nao wakazaa Sheba, Dedan, Ephah, Epher, Enoch, Abida, and Eldaah na wengine lukuki, Na sisi Tunakuwa wazao wa ibrahimu sio kwa damu bali kwa Imani katika kile alichoamini ndio maana alionyeshwa uzao wake utakuwa mkubwa kwa wingi wa nyota na kuitwa baba wa mataifa yote. Mkuu tulia soma bibilia utagundua mengi sana zaidi ya sayansi hii inayojadiliwa humu. Tokea kwenye bibilia ndio uende kwenye mawazo ya watu sio utokee kwenye mawazo ya watu uende kwenye bibilia hivyo utapotea
 
Mwenzangu nani?

Tangu umeanza kujipigia hili shairi na kucheza mwenyewe sijaona mahali uliposema "hizi ponography zilizoko kwenye Biblia hizi hapa" naona unaendelea tu kujitekenya hapa...

Weka unachodhani kipo ndani ya Biblia tukichambue hapa acha porojo....
mkuu maadam anarukaruka tu haeleweki anataka nini. Anataka kujitenga na taarifa zake ili zikifeli abaki safe. Tatizo yeye kila kitu mashindano.
 
mkuu maadam anarukaruka tu haeleweki anataka nini. Anataka kujitenga na taarifa zake ili zikiferi abaki safe. Tatizo yeye kila kitu mashindano.
Madam anataka sisi tumtajie anachokifikiria yeye,hii ni ajabu sana..

Yaani analeta madai halafu anataka wengine wamuoneshe madai yake yalipo utadhani tunakubaliana na hadithi zake...

Lakini huyu nishajadili naye mambo mengi najua namna yake ya kujadili mambo,hana uwezo wa kusoma kitu halafu akaleta maelezo alivyoelewa bali anakuwekea link uende huko ukasome halafu anataka uelewe kama alivyoelewa yeye ili uone anachokisema ni kweli wakati hajui unaweza ukasoma halafu ukatofautiana naye....

Kile anachopaswa kukisema hapa hawezi manaa kitamfunga....
 
Nilikushauri na ninakushauri tena kwa mara nyingine,haya mambo rudi kajifunze upya maana naona kabisa bado hujayajua ipaswayo kufikia kuanza ku argue na watu kwenye furum kama hapa....

Elimu ya Paul ilikuwa kubwa sana na hili hulijui,na inawezekana hakuna binadamu mwenye elimu kama ya Paul leo,unayakimbilia haya mambo na kuyapinga sijui kwanini,nakuona una jambo moyoni mwako linalokufanya uchukie sana dini kitu ambacho siyo kizuri kabisa....

Suala kama la Paul tu linakufanya uonekane hujui kabisa unachokijadili...

Niliwahi kukuambia kwamba unapaswa utofautishe dini na wanadini,mwanadini akiiba au kuua haimaanishi dini inaruhusu jambo hilo.Biblia inazungumza kuhusu dunia kuwa duara halafu wewe unajenga hoja kuwa wanadini walimshutumu na kumuona Galileo anampinga Mungu,ni wanadini gani hao?Ni Mungu gani unamzungumzia hapa?

Hata kama ni wa-Kristo walikuwa wakimpinga,huoni kwamba wanakwenda kinyume na kitabu kinachowaongoza maana kimesema dunia ni duara? Kwanini usiwalaumu wao kutokuelewa kinachoelezwa kwenye kitabu chao?

Nini kinakufanya ufunge kabisa ubongo wako kiasi hiki?
Mkuu wa anga ameshika ufahamu wake ukumbuke Kristo alipokuwa akimjibu mmoja wa wanafunzi wake ya kwamba kwa nini alisema nao wengine kwa mafumbo, inawezekana kabisa hajajaliwa kuzijuwa siri za mbinguni! Ndio kisa amekuwa mbishi sio kosa lake,
 
Back
Top Bottom