Facts: 16 most powerful militaries in Africa

Are you serious unaijua Nigeria au unaisikia, jeshi la Nigeria ni la kulinganisha na la Afrika Kusini.

Jumamosi Bokoharam wamelitimua hilo Jeshi kwenye mji wa Baga, ndio ulikuwa mji wa mwisho katika yote inayotenganisha Nigeria na nchi za Chad,Cameroon na Algeria.

Wanajeshi waliokuwa kwenye mji huo wamepigwa na kukimbia.

Sasa muda wowote Boko haram wataanzisha mashambulizi tena dhidi ya mji mkuu wa Jimbo la Josi, Maiduguri

Kuna nini hapo?
 
ingekuwa kwenye rushwa tanzania ingeshika nafasi ya kwanza lakini kwenye usalama tupo ziro kabisa
 
Umesema kweli mkuu, hata mie sijafurahishwa na porojo hizo. JWTZ ingekuwa kama alivyoielezea Yericko Nyerere, basi Tz ingekuwa imevurugika kuliko hata DRC na Somalia maana hata sie tuna kila kitu cha kuwavutia mabepari kutuvuruga. Na pia tusingekuwepo DRC kuneutralize vikundi ambavyo vimesumbua sana huko DRC.
 
kweli wewe ni zero. hivi unaamini hata somalia wana jeshi imara kuliko letu? nchi ambayo iko kwenye mapambano ya koo tangia 1994 alipofariki Said Barre? utakuwa taahira wewe sio hivi hivi. somalia ambao wameshindwa hata kupambana na Al-Shabbab? au na hao weme-includiwa? kuwa mbayuwayu, usiamini tu kila uambiacho.

 
Napenda nikusahihishe kidogo kuhusiana na maelezo niliyoweka red. Wakati wa vita vya Uganda, Division iliyopigana ikiwa ndani ya maji ya kiunoni iliongozwa na Brigedia (wakati huo) Mwita Marwa na ndiye alipewa hilo jina la Kamanda "KAMBALE"

Oooho kamanda nakushukuru sana kwakunisahihisha, nilisahau kidogo!

Thanks sana mkuu!
 

ha ha ha ha! nchi ambayo jiji lake kuu analokaa rais linatekwa na watoto wa miaka 20 eti panya road inajigamba kuwa na jeshi imara!!!
 
Sisi tunaongoza kulew na kupiga mbupuu(kinyume chake)
 
Sangarara jaribu kutofautisha kati ya jeshi kupambana na kikundi cha uasi na jeshi kupambana na jeshi la nchi nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Ngongo kumbuka kuna wanajeshi wa Tanzania walikuwa Iraki kuyasaidia majeshi ya Marekani sijui kama tulikuwa tunawazidi wamarekani kijeshi.

Kwenda kusaidia nchi kijeshi sio lazima uwe unaizidi kijeshi.
 
hata vita ya uganda hatukuwa na silaha za ajabu ni smg na sar anaetaka aje.
 
Law 3:conceal your intention
LAW 21😛lay a sucker to catch a sucker. Seem dumber than your marker.
 
Sangarara jaribu kutofautisha kati ya jeshi kupambana na kikundi cha uasi na jeshi kupambana na jeshi la nchi nyingine.

Kwani we unalipimaje Jeshi la Tanzania na la Nigeria?


Mpaka Mataifa Yapigane? Haya basi, sisi tuliposhambuliwa na Amin tulimuondoa kwa uwezo mkubwa.

Nigeria Kampiga nani?
 
Ngongo kumbuka kuna wanajeshi wa Tanzania walikuwa Iraki kuyasaidia majeshi ya Marekani sijui kama tulikuwa tunawazidi wamarekani kijeshi.

Kwenda kusaidia nchi kijeshi sio lazima uwe unaizidi kijeshi.

Tanzania haikwenda kule visiwani kusaidia, ilienda kumuondoa Rais wa nchi Kijeshi, maana yake iliwaoverpower wanajeshi wa nchi hiyo Kijeshi.

M23 unataka kusema walikuwa hawajalishinda jeshi la DRC?
 
Huu ni Uongo kabisa..
South Sudan,
Somalia
Nigeria
Majeshi yao yakiboya sana..
 
inasikitisha sana , yaani umahiri wetu upo kwenye kuvunja matofali ya cement chapa NYATI tu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…