Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,659
Are you serious unaijua Nigeria au unaisikia, jeshi la Nigeria ni la kulinganisha na la Afrika Kusini.
Jumamosi Bokoharam wamelitimua hilo Jeshi kwenye mji wa Baga, ndio ulikuwa mji wa mwisho katika yote inayotenganisha Nigeria na nchi za Chad,Cameroon na Algeria.
Wanajeshi waliokuwa kwenye mji huo wamepigwa na kukimbia.
Sasa muda wowote Boko haram wataanzisha mashambulizi tena dhidi ya mji mkuu wa Jimbo la Josi, Maiduguri
Kuna nini hapo?