Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,508
Ukana Shilungo,
Nasikitika kwa kutokuielewa mantiki ya thread hii,
Kwanza niwapi Yericko alipolitusi jeshi? kukopi link inayohusu nchi yetu ni tusi au kuelimisha.
Pili mifano yako kuwa Kenya inashindwa na al shabab tu siyo irrelevant utafiti huu ni wa uwezo wa nchi na nchi sio wa kupambana na vikundi vya kigaidi, unachanganya kazi ya jeshi la polisi na kazi ya jwtz.
Jeshi letu kukishinda kikundi cha M23 kuna factors nyingi mojawapo hatukuwa peke yetu pili hatukuenda na vifaa tulikuwa chini ya uangalizi wa un hata mishahara haikutoka kwetu.
Kwa hiyo kusema kuwa Nigeria wanashindwa na Boko haram basi hawana jeshi imara ni kujidanganya, mbona sisi tunahangaishwa na panya road wenye mapanga tu ina maana jeshi letu halina uwezo kiasi hicho.
Nasikitika kwa kutokuielewa mantiki ya thread hii,
Kwanza niwapi Yericko alipolitusi jeshi? kukopi link inayohusu nchi yetu ni tusi au kuelimisha.
Pili mifano yako kuwa Kenya inashindwa na al shabab tu siyo irrelevant utafiti huu ni wa uwezo wa nchi na nchi sio wa kupambana na vikundi vya kigaidi, unachanganya kazi ya jeshi la polisi na kazi ya jwtz.
Jeshi letu kukishinda kikundi cha M23 kuna factors nyingi mojawapo hatukuwa peke yetu pili hatukuenda na vifaa tulikuwa chini ya uangalizi wa un hata mishahara haikutoka kwetu.
Kwa hiyo kusema kuwa Nigeria wanashindwa na Boko haram basi hawana jeshi imara ni kujidanganya, mbona sisi tunahangaishwa na panya road wenye mapanga tu ina maana jeshi letu halina uwezo kiasi hicho.
