Facts! Foreign Players wa Simba wengi kawaida sana!

Facts! Foreign Players wa Simba wengi kawaida sana!

Kuweni na subira
Kwa jicho langu la kitaalam Onana ni bonge la mchezaji ila nadhani hawezi pressure
Bado una wasiwasi na kiwango cha Miquison
Una wasiwasi na Vabakar Sarr hujaona CV yake?
Una wasiwasi na Baleke?
Una wasiwasi na Phri?
Kuweni serios kidogo

Hata Yanga kipindi Mayele anakuja alicheza mechi 7 bila kufunga ila uvumilivu ulitulipa

Aziz Ki mambo yalimgomea hapo awali pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mayele yupi alicheza mechi 7 bila goli? Mechi ya kwanza tu kawakanda Makolo
 
Akina Onana nchi hii wapo wengi tena bora kuliko yeye. Lusajo anaweza kukupa kitu kuliko huyu Onana! Mimi nakomaa na mfano mdogo kwa huyu kiungo mpya si bora hata Aweso au Bajana?
Umesema ukweli, shida ni ushamba, ulimbukeni na maslahi binafsi ya viongozi wa timu zetu ndio chanzo cha hayo.

Wengi wa hao wageni ni average players. Hata mimi kati ya Sarr au Kagoma au Kelvin Nashon nachukua Kagoma au Nasho. Professional lazima awe tofauti. Nimemuangalia jana, jamaa hajiamini, mzito, anapoteza mipira mingi. Ni usajili wa kindezi huu hata wa Ayoub nao ni wa kishamba.
 
Ili hilo lisitokee tufute nafasi yake. Anafanya kazi nzuri ila viongozi wanamuangusha kwa scouting mbovu! Hawa viongozi hawana jipya tunahitaji maamuzi magumu kuibadili timu.
Kuhusu viongozi Hilo halina ubishi. Afadhali Mangungu kuliko Jaribu Tena. Huyu issue ya Mkataba wa Saidoo ni mnufaika Hadi kwenye mshahara wake.
 
Jana nilisikia hasira sana ila ssc tatizo letu sio KOCHA ni WACHEZAJI hawana kabisa spirit ya kuipambania timu.
Ni kama wameridhika kabisa na maposho posho,
Hivi fikiria ule ni uchezaji gani? Timu imeoza mno mno wachezaji kama wanaliwa bwana aaaaggh🤣🤣🤣🤣
 
Kuweni na subira
Kwa jicho langu la kitaalam Onana ni bonge la mchezaji ila nadhani hawezi pressure
Bado una wasiwasi na kiwango cha Miquison
Una wasiwasi na Vabakar Sarr hujaona CV yake?
Una wasiwasi na Baleke?
Una wasiwasi na Phri?
Kuweni serios kidogo

Hata Yanga kipindi Mayele anakuja alicheza mechi 7 bila kufunga ila uvumilivu ulitulipa

Aziz Ki mambo yalimgomea hapo awali pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika ushuzi wa hali ya juu.
 
Hivi kama sio hujuma za wazi, hii timu baada ya kuondoka Lwanga imeshindwa vipi kusajili DM? Hawa viongozi wanasajili kiungo na kutudanganya kuwa amekuja kutibu tatizo la DM huku mchezaji mwenyewe uwanjani hana sifa yoyote ya kuwa DM.

Sasa kwa huyu si bora wangemchukua Aweso au Himidi mbongo mwenzetu? Kaingia Hamisi Abdalah kaubonda kuliko kiungo mpya. Nina hofu pengine management ina watu wa Uto na hatujashtuka! Unafanyika ujinga ule ule!
Hahahahaha, kwamba mnahujumiwa ktk usajiri ? Aisee
 
Mashabiki wanaojazwa ndio wapumbavu tu,maana mpira ni mchezo wa wazi.
Sarr alitakiwa awe ameondoka tangu mechi ya kwanza ila ndio tumeshapigwa tena
sarr ana tatizo gani? kitaalamu jamaa ni mali, just wait & see
 
Nipeni milion kumi nikuletee wakna onana Kama saba hivi huku temeke
Hivi aliona touch ya kwanza ya Chasambi alivyoingia Sub, ile touch ni Superb. Huwezi linganisha na touch za akina Onana au Saido mpaka autengeneze mpira ndio apige.
 
Kwa hiyo zile saa 48 zilikuwaje tena?[emoji1]
Zile bado kizungumkuti, kocha anataka washambuliaji wa maana na kapiga watu panga. Jana kwenye press kagusia kwa hasira anataka strikers wenye nguvu [emoji1787]
 
Back
Top Bottom