Artificial Horizon
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 432
- 977
🤣🤣🤣Halafu huyo Sarr ndio wanamuita Babarossa kweli ni Babarossa
[emoji23][emoji23][emoji23]Nipeni milion kumi nikuletee wakna onana Kama saba hivi huku temeke
Mayele yupi alicheza mechi 7 bila goli? Mechi ya kwanza tu kawakanda MakoloKuweni na subira
Kwa jicho langu la kitaalam Onana ni bonge la mchezaji ila nadhani hawezi pressure
Bado una wasiwasi na kiwango cha Miquison
Una wasiwasi na Vabakar Sarr hujaona CV yake?
Una wasiwasi na Baleke?
Una wasiwasi na Phri?
Kuweni serios kidogo
Hata Yanga kipindi Mayele anakuja alicheza mechi 7 bila kufunga ila uvumilivu ulitulipa
Aziz Ki mambo yalimgomea hapo awali pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema ukweli, shida ni ushamba, ulimbukeni na maslahi binafsi ya viongozi wa timu zetu ndio chanzo cha hayo.Akina Onana nchi hii wapo wengi tena bora kuliko yeye. Lusajo anaweza kukupa kitu kuliko huyu Onana! Mimi nakomaa na mfano mdogo kwa huyu kiungo mpya si bora hata Aweso au Bajana?
Namshangaa na mimi, we mayele acheze mechi 7 bila goli?Mayele yupi alicheza mechi 7 bila goli? Mechi ya kwanza tu kawakanda Makolo
Kuhusu viongozi Hilo halina ubishi. Afadhali Mangungu kuliko Jaribu Tena. Huyu issue ya Mkataba wa Saidoo ni mnufaika Hadi kwenye mshahara wake.Ili hilo lisitokee tufute nafasi yake. Anafanya kazi nzuri ila viongozi wanamuangusha kwa scouting mbovu! Hawa viongozi hawana jipya tunahitaji maamuzi magumu kuibadili timu.
Umeandika ushuzi wa hali ya juu.Kuweni na subira
Kwa jicho langu la kitaalam Onana ni bonge la mchezaji ila nadhani hawezi pressure
Bado una wasiwasi na kiwango cha Miquison
Una wasiwasi na Vabakar Sarr hujaona CV yake?
Una wasiwasi na Baleke?
Una wasiwasi na Phri?
Kuweni serios kidogo
Hata Yanga kipindi Mayele anakuja alicheza mechi 7 bila kufunga ila uvumilivu ulitulipa
Aziz Ki mambo yalimgomea hapo awali pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha, kwamba mnahujumiwa ktk usajiri ? AiseeHivi kama sio hujuma za wazi, hii timu baada ya kuondoka Lwanga imeshindwa vipi kusajili DM? Hawa viongozi wanasajili kiungo na kutudanganya kuwa amekuja kutibu tatizo la DM huku mchezaji mwenyewe uwanjani hana sifa yoyote ya kuwa DM.
Sasa kwa huyu si bora wangemchukua Aweso au Himidi mbongo mwenzetu? Kaingia Hamisi Abdalah kaubonda kuliko kiungo mpya. Nina hofu pengine management ina watu wa Uto na hatujashtuka! Unafanyika ujinga ule ule!
sarr ana tatizo gani? kitaalamu jamaa ni mali, just wait & seeMashabiki wanaojazwa ndio wapumbavu tu,maana mpira ni mchezo wa wazi.
Sarr alitakiwa awe ameondoka tangu mechi ya kwanza ila ndio tumeshapigwa tena
Alifunga mechi ya community shieldNamshangaa na mimi, we mayele acheze mechi 7 bila goli?
Ifike wakati ushabiki tuweke pembeni. Wachezaji wa kutoka nje ya Tanzania wanaostahili kuchezea Simba ni 3 tu; Ngoma, Inonga na Chama. Wengine wote wako level za Wachezaji wa KMC.Bandiko hili umelianzisha kwa sababu ya kukosa kombe la Mapinduzi 😂
Hivi aliona touch ya kwanza ya Chasambi alivyoingia Sub, ile touch ni Superb. Huwezi linganisha na touch za akina Onana au Saido mpaka autengeneze mpira ndio apige.Nipeni milion kumi nikuletee wakna onana Kama saba hivi huku temeke
Mchezaji hata kutoa pasi ya uhakika ni shida.Halafu huyo Sarr ndio wanamuita Babarossa kweli ni Babarossa