Facts! Foreign Players wa Simba wengi kawaida sana!

Hao wachezaji wa ndani mnaowasifia mbona hawatakiwi na timu za nje kwa dau kubwa ?
 
Mrundi ndio anaitia timu short! Mrundi mambo yake ya gizani ndio yanaimaliza Simba! Mrundi kamaliza makali ya wachezaji wengi pale Simba, Baleke tunamjua vizuri ni mchezaji mzuri sana wivu roho mbaya ya mrundi ndio inamaliza wachezaji wetu
 
Tuache nongwa.wachezaji wote ni wazuri changamoto ni ligi yetu,ndo maana ata hawa wakwetu hakuna anayeng'aa akatafutwa na timu za nje.Kwasababu kama sisi tumewaona hao wa mataifa mengine,timu za hao wamataifa mengine wameshindwa nini kuona wakwetu.Wachezaji wetu waongeze juhudi kwasababu sio lazima kuchezea simba na yanga tu,timu ziko kibao uko nje sasa ukiona hawaonekani jua uwezo mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…