facts. SUA,UDSM,MZUMBE

uciwe mjinga wa karne na mvivu wa kufikiri. udsm wanachukua cut off point kuanzia 3 je wajua hyo na sawa na division gan? vile vile sua ni 3 kwa me na 2.5 kwa ke. acha ushamba wa kusoma kwa kufuata jina la chuo/
yani wale wenye ufaulu mzuri 4m6 ndo wanaenda SUA,UDSM,MZUMBE
Wale vilaza waliobahatisha ndo wanaenda SAUT,TUMAINI,ST.JOHN
Na vyuo vingine vya private najua mtachukia

    • :yield:
      2013 TWENZETU



 
university charter tayari zimeshatolewa mi niende MOUNT Meru University nikasome niachane na majina
 
Masela msijenge chuki..ukweli mnaujua na nikweli wa nje ya vyuo hvyo vya serekali wengi wenu ni vilaza..it hurts lakini ukweli ndio huo..there on merits..
 
Vijana wenzangu acheni kubishana kwa sababu ya vyuo jadirini mambo ya msingi nyie vipi?
 
 

Pongezi kwako kijana, kama ni mdau mzuri wa hili jukwaa unaweza tambua ni jinsi gani lilivyo poteza maana halisi ya kuanzishwa kwake!

Kuna memba wengi saaana wamesoma hivyo vyuo ambavyo wageni katika hii forum wanatumia kutoa Tambo zao!

Heri yako umelitambua hilo mapema,nakushauri endelea kupitia mabandiko ya memba wenzako hapa jamvini hop utapata juzwa mengi.

Epuka hizi ligi za kutambiana vyuo,tuliosoma Udsm tunazijua changamoto tulizozipata wakati ule.
Huku mtaani ndio kabisa,waajiri hawaangalii umesoma wapi,nini umebeba upstair ndio hasa shida yao!!!!

Litumieni vyema hili jukwaa,kama ni kufahamiana mnaweza kuja chit chat, Hizi threads mnazoleta zinawapunguzia credibility hapa Barazani Madogo.

Wasalaaaaam.
 

Pamoja mkuu....asante kwa ushauri mzuri
 
mpango mzima utoke na jiwe lako popote but tukuone una maisha mazuri na so kuuza sura mtaa na combnation of diff certificates huku umechomeka shati na kuzurura mjini.
 
Tatizo moja la Udsm aisee jiandae kutoka na lower second..aisee..
 
kwa unanithibisha kwamba Teofile Kisanji sio chuo cha maana
 
kwa unanithibisha kwamba Teofile Kisanji sio chuo cha maana

Hapana mkuu maana nimeona wengi hapo juu wanakiongelea vibaya ndiyo maana nimeshawishika kuwa chuo hicho kina changamoto nyingi ambazo zinahitaji kufanyiwa lazi.Binafsi ndiyo kwanza nimeanza kukisikia hivi juzi juzi tu kwa hiyo kusema kuwa ni kibaya au kizuri nitakuwa nasema uongo.
 
Masela msijenge chuki..ukweli mnaujua na nikweli wa nje ya vyuo hvyo vya serekali wengi wenu ni vilaza..it hurts lakini ukweli ndio huo..there on merits..

HEBU JARIBU KUJIFIKIRISHA KIDOGO, unazungumza kuhusu wanafunzi wa vyo nje ya serkali hv unatambua mwanafunz wa chuo cha udsm au udom hauwezi kufananisha na wa chuo st. agastn, ama st. john? elimika wewe.
 
Hili wakuu halina ubishi hata sekondari kuna shule za kata wanaenda vilaza.jambo lingine kama wanabisha watu wa 3 na 2 waombe law mzumbe na udsm tuone kama watapata wakati SAUT na MAKUMILA ni wawaaaaaaaaaaaaaaa.atakayebisha aandamane bila kula
 
Tangu lini shule/vyuo vya serikali vikatoa elimu bora kuzidi private? Isco23 hauko sahihi ktk hili, kama unabisha check ufaulu wa shule za serikali vs private!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…