Black ma colour
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 733
- 663
uciwe mjinga wa karne na mvivu wa kufikiri. udsm wanachukua cut off point kuanzia 3 je wajua hyo na sawa na division gan? vile vile sua ni 3 kwa me na 2.5 kwa ke. acha ushamba wa kusoma kwa kufuata jina la chuo/
yani wale wenye ufaulu mzuri 4m6 ndo wanaenda SUA,UDSM,MZUMBE
Wale vilaza waliobahatisha ndo wanaenda SAUT,TUMAINI,ST.JOHN
Na vyuo vingine vya private najua mtachukia
![]()
- :yield:
2013 TWENZETU