Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah uongo mwimngi hapa,,,kuna ndugu zangu wawili mwaka jana walienda udsm na ardhi na wote walikuwa na division 3,mmoja pcm mwingine egm,,,,sasa wa udsm yuko mechanical eng na wa ardhi yuko building economics,,na walikuwa vilaza tu,,na kuna mwuingine kapata ardhi this year ana 3 ya hgl,,,,,so msikeshe kwenye jukwaa kudanganyana
yani wale wenye ufaulu mzuri 4m6 ndo wanaenda SUA,UDSM,MZUMBE
Wale vilaza waliobahatisha ndo wanaenda SAUT,TUMAINI,ST.JOHN
Na vyuo vingine vya private najua mtachukia
![]()
- :yield:
2013 TWENZETU
Kuna mhitimu wa MZUMBE 2011 alituma kwenye kampuni ninayofanyia kazi barua ya kazi aliandika "I am applicating for the job" so hapo nadhani tuangalie je wankuwa competent makazini kwao? coz jina la chuo si hoja sana.
yani wale wenye ufaulu mzuri 4m6 ndo wanaenda SUA,UDSM,MZUMBE
Wale vilaza waliobahatisha ndo wanaenda SAUT,TUMAINI,ST.JOHN
Na vyuo vingine vya private najua mtachukia
![]()
- :yield:
2013 TWENZETU