Facts zilizotokea katika Viwanja mbalimbali vya michezo

Facts zilizotokea katika Viwanja mbalimbali vya michezo

Robert Lewandowsky mpaka sasa amecheza dakika 630 katika ligi ya mabingwa msimu huu bila kufunga goli...
EC4507FF-1D25-4C80-8692-DC94738DAB58.jpeg
 
Magoli yote 6 aliofunga Serge Gnabry katika ligi ya mabingwa msimu huu ameyafunga katika jiji la London.
B0132563-61C9-48F5-AB09-F1577F20A280.jpeg
 
Antoine Griezmann Mpaka sasa amefunga magoli mengi zaidi ya Luis Suárez, Paul Scholes, Gonzalo Higuaín and Luís Figo (24) Katika ligi ya mabingwa barani Ulaya.
38087CDE-C4EC-4812-A699-6CCCBE46ED5A.jpeg
 
Serge Gnabry Amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya ligi ya mabingwa barani Ulaya kufunga magoli yake 6 ya msimu mmoja Kwa kuzifunga timu zinazotoka jiji moja.
Aliifunga Spurs magoli manne na sasa kaifunga Chelsea magoli mawili.
Chelseis na Spurs zote zinatoka London.
373720F1-3E4D-4310-A269-1E217AE05314.jpeg
 
Robert Lewandowski Amehusika katika magoli 12 waliofunga Bayern msimu huu katika ligi ya mabingwa.

⚽️
⚽️
⚽️
⚽️
⚽️
⚽️
⚽️
⚽️
⚽️
⚽️
🅰️
🅰️

Alifunga magoli 10 katika hatua ya makundi na kutoa Assists mbili katika hatua ya mtoano. 🤜🤛
 
Robert Lewandowski has scored nine away goals in the Champions League this season; the joint-most by a player in a single campaign, along with Cristiano Ronaldo in 2013-14.
31E13F1C-1BEF-4E2B-AB16-35F92AB374E1.jpeg
F9F37F9E-D31F-473C-97D7-FCED02383EC2.jpeg
 
Manchester United executive vice-chairman Ed Woodward believes the foundations are in place for long-term success with Ole Gunnar Solskjaer at Old Trafford.
 
Namkumbuka yule CHOGO, aliambaa ambaa pembeni kisha akatupia kule kwenye kona ya kushoto ya goli. Baadae Beckham akaulizwa nini kiliwakuta... Akajibu uwezo wetu ulifika mwisho! Marudiano Highbury ngoma ikaisha suluhu!
Siku kama ya leo mwaka 2006, Arsenal walipata ushindi maarufu zaidi wa goli 1-0 nyumbani kwa Reall Madrid katika hatua ya 16 bora.

Goli la Thierry Henry lilitosha kuivusha Arsenal katika hatua inayofuata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lionel Messi vs Napoli:

Goals - 0
Assists - 0
Shots on Target - 0
Dribbles Completed - 2(7)
Key Passes - 0
Chances Created - 0
Possession Lost - 15

Another big game in Champions League another failure from messi.
 
🎙️ Ismaël Bennacer told RMC Sport

"Zlatan ? It’s the first time I have played with such a great champion. His presence is incredible. Even if he sometimes takes advantage of it… if I pass him the ball and he’ll make a mistake, it’s my fault." 😂 TeamMilanAC on Twitter
 
Klabu ya Bayern Munich, imethibitisha kuwa mshambuliaji wao wa kati Roberto Lewandowski, atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki minne baada ya kuumia goti kwenye mchezo wa ligi ya Mabingwa Barani Ulaya dhidi ya Chelsea.
.
.
Kwa mujibu wa Daktari wa klabu hiyo Hans Wilheln, amesema kuwa mshambuliaji huyo amepata maumivu makubwa na huenda akakosa mchezo wa marudiano dhidi ya Chelsea katika dimba la Allianz Arena.
EEC56407-E947-4B73-8DA6-2B194665B8E0.jpeg
 
Robert Lewandowski amefunga magoll mengi zaidi katika ligi ya mabingwa (11)
Na magoli mengi zaidi katika Bundesliga (25) msimu huu zaidi ya mchezaji yeyote yule...

Machine...
 
Real Madrid XI: Courtois; Carvajal, Ramos, Varane, F. Mendy; Casemiro, Valverde, Modrić; Vinicius Jr, Isco, Benzema.

Man City XI: Ederson; Walker, Otamendi, Laporte, B. Mendy; Rodrigo, De Bruyne, Gundogan; Mahrez, Bernardo, Jesus.
 
Back
Top Bottom