Uchaguzi 2020 Fadhila za Lissu kwa majasusi wa kibepari na kisingizio cha uwekezaji nchini

Pumbaf kabisa! Yaani unamuibia mtu kisha akijitetea unamuuliza eti umechoka na amani?
Shensy kabsa! Mwaka huu ujinga mwisho
 
" Maamuzi yoyote ya ya kutokuwa yeye rais yatapeleka watu ICC". Lini alisema maneno hayo???.
 
@Mchimwachimego usiwe na shaka mkuu, huu ni uchaguzi mwepesi sana kwa CCM kuliko watu wa humu wanavyofikiri, CCM inakwenda kushinda kwa ushindi mzito sana utakawaodhalilisha NI YEYE, wale waliomtuma na wale anaosema wanafuatilia uchaguzi huu
 
Kamwe kibaraka hawezi kuaminika "yuda" ni kweli kuwa ameaminishwa hivyo.
 
Mataga haya mmeyataka wenyewe kwa kummiminia Lissu risasi 32 mchana kweupe.

Matokeo yake leo UVCCM siasa zimewashinda mmeanza kulia-lia kama mmebinywa balls kwa plaizi.
 
Unamfahamu Mzee Jecha?
 
Itakuwa umeajiriwa hapo Lumumba kuja mitandaoni kufanya jambo usilolijua.

Kwahiyo ulitaka wakihujumu wachekewe tu? Halafu unasema kwa Trump watu hawakuenda barabarani?

Ama kweli nimeamini.
Ukiwa ccm akili inakuwa ndogo kama uduvi.
Wewe kwa kumbukumbu zako Clinton aliamasisha watu wampinge na waandamane barabarani kama huyu ndugu yako anavyoamasisha.
 
Kwa hiyo ww unataka utawala huu haramu kupitia wizi wa kura uendelee?

Tumewachoka hawa wakoloni weusi ccm wanaotawala kimabavu kwa kuteka, kuua, kubambikizia kesi raia wasio na hatia, dhuluma, nk.

Ndo maana mkombozi Lissu anapendwa
 
Mabeberu halafu wanawapa dawa na kuwasaidia ving na wanaweza kuwaoa kabsa,SHAME ON YOU!!
 
Kwani umeanza kufatilia siasa lini mkuu, mbona ni kauli za kawaida tu kwenye siasa hasa kipindi kama hiki cha kampeni, fatilia enzi za kina mrema,lipumba,mbowe, dr slaa, zitto ata ccm nao hutoa kauli za kishujaa kipindi kama hiki.
Mku Mungu akiwa upande wako ushujaa ni jambo dogo sana.
Hivi kwa umri aliona Lisu na ungwaji mkono anaoupata kwa Watanzania ataacha kujiamini hata kama ni ww na ukija upande wa pili jumuia za kimataifa zilishatunyooshea kidole siku nyingi hata kabla Lisu hajarudi kwani majibu kwa mtu wa kawaida anaelewa yy yuko juu kwa yy atayemuhujumu kwa njia yoyote ile.
Baraza la congress liliandika na kutoa angalizo pia juzi tena UN nayoimetoa ripoti juu nchi yetu na ukiangalia imetoka kipindi cha uchaguzi hii haileti picha nzuri kwani afadhali hii ingekuwa nzuri ambayo ingetubeba
 
Ije mvua, lije jua, CCM LAZIMA ishinde na hilo mnalijua. Zilizobaki kwa Lissu na Chadema ni mbwembwe za wakati tu!
 
Kwahiyo kama wagombea wengine walikaa kimya hata pale haki yao ilipochezewa, unataka na Lissu nae afanye hivyo hivyo?

Kama mnaamini watanzania wanawakubali kwa makubwa mliyoyafanya kama mnavyojinasibu kwanini mnaogopa kuendesha uchaguzi wa huru na haki ili mchaguliwe na kutangazwa kwa haki?

Hii inaonyesha hamjawahi kushinda kwa haki, ndio maana sasa uchaguzi huu mmekutana na mtu ambaye ameweka bayana kuwa mkifanya rafu yoyote hatakaa kimya sasa mnaanza kuweweseka.

Ni sawa na mwanafunzi aliyezoea kupewa majibu ya mtihani, sasa inapotokea amedhibitiwa ananza kuchanganyikiwa maana hajazoea kutumia akili yake.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Wewe kichwa ngumu .
 
Kupenda upofu. Wahenga walisema. Wapi Lissu alisema lazima awe mshindi? Khaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…