Fagia Fagia huko Cabo delgado Mozambique

Fagia Fagia huko Cabo delgado Mozambique

Mr Putin

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2019
Posts
515
Reaction score
520
RDF wakifanya yao

20210103_152614.jpg


20210103_152503.jpg


20210103_152641-1.jpg


IMG_20210726_064135.jpg


IMG_20210726_054836.jpg


IMG_20210726_054839.jpg


20210726_065816.jpg
 
Nadhani SADC inazinduka inaanza kuelewa majuku yake halisi.Hongera Filioe Jacinti Nyusi Mwenyekiti wa SADC,Raisi wa Msumbiji,umeamua hasa kusafisha nyumba.Maana nashangaaga sana,majeshi ya UN yanapelekwa congo lakini hakuna linaloonekana ,zaidi ya wanajeshi wake kupukutika tuu.anayewafadhali ataendelea kupata hasara.
 
RDF ngoja wajipeleke mbelembele na viSMG vyao lakini wajue wanapigana na watu wasioonekana
 
RDF ngoja wajipeleke mbelembele na viSMG vyao lakini wajue wanapigana na watu wasioonekana
lakini tunashukuru kwa kujitolea kwao, na bila shaka watapata uzoefu mkubwa kupigana na aina za watu kama hao. ni advantage kwao. hao wa del delgado wanaonekana tu mbona, na waoga balaa, ila kwenye mapicha ya yutube wanajifanay kutisha mno kumbe hata boxer hawavai mbulura hawa.
 
Nilisikia habari tu, mambo yamekuwa mengi nimesahau ni nani🤣
sasa na ninyi mnafeli wapi? Madagascar wamekuwa na rais DJ na uchumu unazidi kushuka, yeye anafikiri yupo club, na ninyi bongo mnataka kufanya makosa? tangu lini dj akapata uwezo kuongoza nchi? tena dj aliyekimbia shule.
 
Nadhani SADC inazinduka inaanza kuelewa majuku yake halisi.Hongera Filioe Jacinti Nyusi Mwenyekiti wa SADC,Raisi wa Msumbiji,umeamua hasa kusafisha nyumba.Maana nashangaaga sana,majeshi ya UN yanapelekwa congo lakini hakuna linaloonekana ,zaidi ya wanajeshi wake kupukutika tuu.anayewafadhali ataendelea kupata hasara.
Biashara za watu hizo sheikhe ,mpaka unaona sadc anaelekea huko jua kuna maslah soon hii inaenda kua mission kamili kama afrika ya kati au kongo na ile ya sudan ilioisha so tutegemee mengi
 
Back
Top Bottom