Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia kwenye hiyo 15 ni kama hakuna muungano kabisaView attachment 1766625
Anzia kusoma nambari 15 hapo.
Limeondolewa lini ??Suala la gesi na mafuta limeondolewa kwenye mambo ya muungano baada ya Zanzibar kuhisi wana mafuta, hii yote inatokana na ubinafsi wa wazanzibar na ujinga wa watanganyika kung'ang'ania muungano usiokuwa na tija
Suala la gesi na mafuta limeondolewa kwenye mambo ya muungano baada ya Zanzibar kuhisi wana mafuta, hii yote inatokana na ubinafsi wa wazanzibar na ujinga wa watanganyika kung'ang'ania muungano usiokuwa na tija
Muungano wetu unakuwa defined na uopatikanaji wa gas na mafuta tu? Kama ingelikuwa hivyo Dubai wangekuwa nchi maskini sana
Muungano wetu unakuwa defined na uopatikanaji wa gas na mafuta tu? Kama ingelikuwa hivyo Dubai wangekuwa nchi maskini sana
Ushauri wangu ni kuwa hakuna nchi inayokubali kuvamiwa. Jambo usilolipenda wewe , usiwafanyie wenzako. Hasara iliyopata ZNZ kwa uvamizi huu ni kubwa mno. Ni wakati wa kutuwachia tujenge nchi yetu Na Nyinyi mjenge yenuKwahiyo unatushauri tusiendelee kuwavamia wazanzibar
Kama Mafia ya CCM iliyomweka itakubaliInatakiwa tuanze na Samia atuachie Tanganyika yetu wabaki na Zenji yao
wao kwao ni halali ila sisi kwetu ni haramu wajiulize ni mtanganyika gtani anajenga Zanzibar lakini wao wapo huku tele wanajenga sasa hapo nani kamvamia mwenzieInatakiwa tuanze na Samia atuachie Tanganyika yetu wabaki na Zenji yao
Dah kweli kabisa ila ndo maana halisi ya muungano kama wao wanajenga kwetu.wao kwao ni halali ila sisi kwetu ni haramu wajiulize ni mtanganyika gtani anajenga Zanzibar lakini wao wapo huku tele wanajenga sasa hapo nani kamvamia mwenzie
maana halisi ya muungano kila mtu aruhusiwe kujenga popote ili mradi ni mtanzania lakini wao hawataki wabara wajenge kwaoDah kweli kabisa ila ndo maana halisi ya muungano kama wao wanajenga kwetu.
Toka Lini CCM kufuata katiba? Hiyo CCM Yao haikuundwa KI sheria ,ni magumashi tuSi wanasema ninkatiba iliyo muweka pale🤣🤣🤣