Fahamu dawa na mambo yatakayoweza kukupatia mwanamke umtakae..

Fahamu dawa na mambo yatakayoweza kukupatia mwanamke umtakae..

Sijawlezea na sitakaa nielezee labda mtu akasome kwenye huo uzi wa rakims



Rakims ni mchawi, tena ni mchawi wa "majinn"--- anao uchawi unaoitwa majinn.

Mimi nilimwambia unitupie hilo jinn akasema nimpe majina halisi ya Wazazi wangu na jina langu, nikampa akashindwa kunidhuru. Na ikathibitika vitu hivyo ni UONGO NA UTAPELI MTUPU🤣🤣🤣
 
Rakims ni mchawi, tena ni mchawi wa "majinn"--- anao uchawi unaoitwa majinn.

Mimi nilimwambia unitupie hilo jinn akasema nimpe majina halisi ya Wazazi wangu na jina langu, nikampa akashindwa kunidhuru. Na ikathibitika vitu hivyo ni UONGO NA UTAPELI MTUPU🤣🤣🤣
Ni pro Tapeli..na mchawi
 
Mkuu unawazungumzia wanawake gani?..kama ulikuwa unamaanisha wanawake hawa wa sayari hii itakuwa umekosea sana
 
Mimi nitawafundisha njia nyingine anajileta mpk kwako bila tatizo kabisa walio tayari tujuane .....
 
Dawa ya kumpata mwanamke mzuri mrembo figa figali ni "UCHAWI WA KIZUNGU" aka PAKEE aka MTONYO aka MAWE aka FUBA aka MASIMBi aka MAPENE aka MASIMBI aka KISU aka MKWANJA aka MCHELE

Ukiwa na hayo mambo utakuwa na NDINGA kali utakuwa na Nyumba nzuri,utatembelea viwanja vikali hapo lazima MADEMU wazuri uwaattrack kama MBWA kwa CHATU.
 
Nimesoma yote vile sikutaka kukwoti sababu ni ndefu, nimeshangaa hapo mwanzoni kwenye utangulizi kuwa una utaalamu wa ndumba

Kuwahi siti hizo ni mambo zenu new comers

Hao ni wahenga wala hata sio wageni mkuu. Sema wanakuwa silent followers
 
Ila kama unajua mbinu flani za kukupatia pesa ukizifanya ukashindwa kupata pesa..usiache kuambia wenzio mbinu hiyo. Labda muda wako bado eti..
Ndio maana siwezi acha kushea vitu hivi nifaamuvyo japo kwangu havifanyi kazi.
Ndio maana nakupenda Mkwe.
Una akili na busara sana.
 
Rakims ni mchawi, tena ni mchawi wa "majinn"--- anao uchawi unaoitwa majinn.

Mimi nilimwambia unitupie hilo jinn akasema nimpe majina halisi ya Wazazi wangu na jina langu, nikampa akashindwa kunidhuru. Na ikathibitika vitu hivyo ni UONGO NA UTAPELI MTUPU🤣🤣🤣

Kama kweli mchawi angejua majina yako kabla hujampa, wachawi wa JF wanatuzingua tuu... 😁 😁 😁
 
Back
Top Bottom