Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
★1. Ukitaka ambacho hakijamilikiwa na mtu yoyote ni lazima ufanye jambo ambalo halijafanywa na yoyote.
★2. Mungu akitaka kukubadili hukuletea mtu na shetani akitaka kukuangamiza pia huleta mtu.
★3. Bora Uishi mwenyewe kuliko kuishi na mtu ambaye si sahihi katika maisha yako.
★4. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta hamfiki popote.
★5. Aina Tano za wanaume wakuepuka.
[emoji654]Mlevi
[emoji654]Wazinzi
[emoji654]Wagomvi
[emoji654]Wavivu
[emoji654]Wachawi
★6. Aina 5 za Wanawake wa kuepuka.
[emoji654]Walevi
[emoji654]Wazinzi
[emoji654]Wachawi
[emoji654]Wasiotii
[emoji654]Wagomvi
★7. Maneno matatu (3) yanayojenga Amani ni:
[emoji654]Nakupenda
[emoji654]Samahani
[emoji654]Asante
★8. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano na kwamba hutooa/Kuolewa na Mtu Mwenye sura mbaya Bali fahamu kila kitu ni Matunzo.
★9. Asili ya Mikono inayojari ni Moyo Unaothamini na Kujari.
★10. Usioe / Kuolewa na Pesa au Mali , Oa / Olewa na mtu maana Pesa au Mali hufirisika lakini UTU Hudumu milele.
[emoji815]Mwenyezi Mungu Akubariki sana
★2. Mungu akitaka kukubadili hukuletea mtu na shetani akitaka kukuangamiza pia huleta mtu.
★3. Bora Uishi mwenyewe kuliko kuishi na mtu ambaye si sahihi katika maisha yako.
★4. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta hamfiki popote.
★5. Aina Tano za wanaume wakuepuka.
[emoji654]Mlevi
[emoji654]Wazinzi
[emoji654]Wagomvi
[emoji654]Wavivu
[emoji654]Wachawi
★6. Aina 5 za Wanawake wa kuepuka.
[emoji654]Walevi
[emoji654]Wazinzi
[emoji654]Wachawi
[emoji654]Wasiotii
[emoji654]Wagomvi
★7. Maneno matatu (3) yanayojenga Amani ni:
[emoji654]Nakupenda
[emoji654]Samahani
[emoji654]Asante
★8. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano na kwamba hutooa/Kuolewa na Mtu Mwenye sura mbaya Bali fahamu kila kitu ni Matunzo.
★9. Asili ya Mikono inayojari ni Moyo Unaothamini na Kujari.
★10. Usioe / Kuolewa na Pesa au Mali , Oa / Olewa na mtu maana Pesa au Mali hufirisika lakini UTU Hudumu milele.
[emoji815]Mwenyezi Mungu Akubariki sana