Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

Kuna point juu hapo uligusia kuhusu deki aina ya Singsung ndio maana nikataka nijue kiongozi maana kwa wazoefu wa hizi electronic device lazima kutakuwa na brand fulani ambazo ziko njema kuliko zingine, just kama ilivyo kwa brands za flat screen Kama kuna aina zozote unaweza recommend mkuu!
 
Si muvi za kutafsiri hizi za kina Rufuu na Murphy Dj mimi natumia kuangalia documentary za wanyama kama Animals Battlefield nk. Pia baadhi ya movies za kitambo nikizikumbuka huwa nazicheki mkuu movie kama Hard Target, Enter the Dragon, Transpoter nk ni fan mkubwa wa hizi action mkuu.
Ni kwamba bado unaangalia CD za kutafsiriwa?
 
Mkuu wewe sasa unataka kununua jina la kampuni na wala sio deki, hiyo Singsung niliyoitaja si kwamba ni mbaya ni deki ngumu sana ninao watu nawafahamu wana Singsung huu mwaka wa 5 sasa hivi hazijasumbua kitu.

NilitajaSsingsung kwamba si nzuri kuitumia kwa flat screen kubwa zenye resolution kubwa kubwa ndio nikasema sishauri mtu atumie Singsung maana anakuwa hajaitendea haki Tv yake.

Kama flat yako ni ya kawaida ndogo baki hapo hapo na Singsung yako deki ngumu hiyo kama ni ubora tu hiyo ni nzuri sana tu.
 
Sasa mzee si uzipakue tu kwa Torrent kisha utupie kwenye kaflash. You know huku tunakokwenda hizi CD zitakuwa hazina kazi.
 
Imepita hii hoja ya mwenyekiti
 
Mkuu hapa pia sio asilimia 100 kwamba mtu atapata anachotamani.

Kitu nimegundua katika hizi Tv za kisasa, zina video zake. Ukiiwekea video ya ubora tofauti ni 1, isionyeshe au 2, ionyeshe ugoro.

Mfano HD tunaanzia 480P, hii picha haichezi katika deki zetu za wakina lufufu, ukiweka mpg katika hii deki ukawa unaangalia kwa flat 32inch hata ungetumia HDM bado ni upuuzi tu kuangalia. Hiyo video ya 480P ina detail ndogo sana lakini ubora wake ni mzuri.

Kama kuna watu wanatumia king'amuzi cha Azam watanielewa linapokuja suala la TBC 1 na HDM cable, ni vitu visivyo na ushirikiano kabisa.
 
Sina duka mkuu la kuuza Tv mimi kazi yangu kuandika andika tu kama hivi ndio raha
Mkuu ninataka kuchukua hii kitu ila naona kama specification zake ni chache pia hata details za resolution hamna. Pls advise.

 
kcamp, Mkuu mimi kwa bajeti yangu ya 1m kwa sasa napata Tv aina gani yenye vigezo hivi ulivyotaja?
 

Wewe Kiranga mbona unaleta mambo magumu mpaka huku mkuu?
 
Mkuu kwa 4K brand kubwa yenye atleast hizo sifa kwa bei chee ni Samsung NU7100 series 7 ya inches 43 wanaanzia 1.3M. Pia kuna TCL P6500 inches 50 wanaanzia 1.3 nayo sema design sio premium sana.
Mkuu mimi kwa bajeti yangu ya 1M kwa sasa napata TV aina gani yenye vigezo hivi ulivyotaja?
 
Mkuu kwa 4K brand kubwa yenye atleast hizo sifa kwa bei chee ni Samsung NU7100 series 7 ya inches 43 wanaanzia 1.3M. Pia kuna TCL P6500 inches 50 wanaanzia 1.3 nayo sema design sio premium sana.
Thanks Mkuu ngoja nijipange.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…