kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
- Thread starter
- #2,621
Hahaj yakiboya sana ile optionILIKUWA NI NOMA BALAA FATIGURE SIMURATION NILITOA TIKI
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaj yakiboya sana ile optionILIKUWA NI NOMA BALAA FATIGURE SIMURATION NILITOA TIKI
shukrani sana Mkuu, kwanza kwa kujua Lugha nyingi pili kuwa MtafitiWale wenye 1.37 na wanataka kuonja radha ya Russia basi southern region ndio chaguo pekee
Старт !!!ОТКРЫТОГО !!!!!БЕТА!!!!! ТЕСТИРОВАНИЯ.. | Проект «Южный регион» | VK
Pakua hapo parts zote
Hahaha dah mzeee[emoji3][emoji16][emoji16]shukrani sana Mkuu, kwanza kwa kujua Lugha nyingi pili kuwa Mtafiti
sisi wengine bila Google Transilator tusingejua ua hata kuyaona haya maMods
Nayashusha
hii ni kweli na inatufaa sana watu wa mod kama sisi
Ni mods za magari tu hizo.. Sio game.. Bora hata ingekuwa map za tanzania.. Ila naona wanauza mods za mabasi..Jamani Member kuna mdau anauza Video Game mliomuelewa mnaweza kutuhabarisha tusijeingia mkenge
uzi wake huu Tunauza video Games zenye mwonekano wa mabasi ya Tanzania Full HD na Graphics Nzuri - JamiiForums
Bei ni 15000 tu karibuniView attachment 1456081View attachment 1456083View attachment 1456082View attachment 1456084View attachment 1456085View attachment 1456092View attachment 1456091View attachment 1456087
cc kcamp kata shime
Promods huwa nawakubali sana map zao zina uhalisia mkubwa sana.. Hapa nimeshalipia buku tano yao nime download kwa single link na nimeshaishusha nataka niianze nayo weekend hii..
Ok usijekuta ni picha tu za Mabasi na Malori ambapo mchoraji katumia AdobeNi mods za magari tu hizo.. Sio game.. Bora hata ingekuwa map za tanzania.. Ila naona wanauza mods za mabasi..
Sent using Jamii Forums mobile app
habari mkuu, hii game naweza kuipata kwenye Android phone? msaada wadautujikumbushie kwanza kidogo # M.N.B #
mkuu hii game naweza kuipata kwenye Android phone?chovrolet chakani
Ni kweli Mkuu, lkn ukifuatilia majadiliano yao hao Warusi na wachache wasio warusi ni kuwa uExtract mafail yote 6 peke yao kwenye ukurasa Mod mmoja, halafu unafungua hilo la juu #001 nimejaribu nimekwamaWakuu nimemaliza kudownload hiz mods za ets2 1.37 za russia southern map lakn nashangaa inagoma, yan nimeextract na kukopy na kwenda kupaste kwenye file la mod lakn sion mabadiliko. shida itakua nn wakuu


pamoja Mkuu hata ukipata Map ingine ya 1.37 tuwekeane hadharani aua uniTAG na mm niichukueNgoja nifatilie mkuu shukrani tupeane taarifa
Mkuu ina maana inaid niextract mafaili yote au lile la kwanza mkuu?Ni kweli Mkuu, lkn ukifuatilia majadiliano yao hao Warusi na wachache wasio warusi ni kuwa uExtract mafail yote 6 peke yao kwenye ukurasa Mod mmoja, halafu unafungua hilo la juu #001 nimejaribu nimekwama
hebu fuatilia hapa, mm nitarejea usiku mtandao ukitulia
View attachment 1458407View attachment 1458409
Sawa mkuu tupo pamoja.tupo
pamoja Mkuu hata ukipata Map ingine ya 1.37 tuwekeane hadharani aua uniTAG na mm niichukue
hichi kijiji cha 1.37 tumebaki wageni wenzetu wamebaki nyuma, mm kurudi nashindwa bora tuwasubiri hukuhuku
Mkuu ina maana inaid niextract mafaili yote au lile la kwanza mkuu?