Si ulicrack tu?WAJAMENI HAKUNA HATA MMJA MWENYE PRODUCT CODE ZA STEAM
Ulilitoa la mwanzo ? Jaribu kurun as administrator hiyo setup tuonehiyoo mkuu yaani duuuh
mkuu hiyo ni application ya steam. kama key code unazo nigeiSi ulicrack tu?
Me nimelicheza na sijawahi sumbuliwa na huo ujinga hakikisha umeweka crack kama inatakiwa.mkuu hiyo ni application ya steam. kama key code unazo nigei
mkuu naona mdudu tayale anaenda kujulikana hivi punde. bas unstall hilo game lako lote la zamani kisha install hili game jipya. au fanya ku update hilo game lako unalocheza kama demo mode na litahamia v 1.36 kisha litaomba key bas ukiona hivyo nenda katengeneze acc ya steam ili upate key.ndiyo ipo moja nacheza demo mode
mkuu hivi unaelewa kweli? hapo ninaomba key za steam ili niweze ku derete au ku disable DLC ya going east and harvy cargo kwani ninataka kucheza map ya harsh russian baikar R20 .[ samahani lakin]Me nimelicheza na sijawahi sumbuliwa na huo ujinga hakikisha umeweka crack kama inatakiwa.
Ninachojua, code hudaiwa kwa og game.
Ok.mkuu hivi unaelewa kweli? hapo ninaomba key za steam ili niweze ku derete au ku disable DLC ya going east and harvy cargo kwani ninataka kucheza map ya harsh russian baikar R20 .[ samahani lakin]
Mim nilikuelekeza kila kitu ,sjui unakwama wapi hadi leomkuu hivi unaelewa kweli? hapo ninaomba key za steam ili niweze ku derete au ku disable DLC ya going east and harvy cargo kwani ninataka kucheza map ya harsh russian baikar R20 .[ samahani lakin]
Msione kimya
Kuna map ya Brazil inamitihan had sio pow
Safar moja mbanga3
kelphin kepph
Yap mwanangu
Yap mwanangu
kelphin kepph
Asee mkuu naomba nikuulize.... Hivi unatumia PC yenye specs zipi?Kimbiza iyo map kubwa...kesho naanza grand utopia kisha narud brazil
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha nna mashine heavy mkuu...ram tu 8Asee mkuu naomba nikuulize.... Hivi unatumia PC yenye specs zipi?
"utamu wa uji ni kutingisha bakuli"
Hahaha processor yake?
Hahaha processor yake?
"utamu wa uji ni kutingisha bakuli"
Naam, mwaka huu nitakucheki unipe machimbo ya Pc kali..