Guilherme
Senior Member
- Feb 20, 2020
- 100
- 78
nimeshahama version ya 1.36 sahv nipo 1.37 mkuumkuu ni map gani hizo. au hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeshahama version ya 1.36 sahv nipo 1.37 mkuumkuu ni map gani hizo. au hiyo
Hii version bado mpya...kua nasubra mods zjae jae...kama unataka utam rud 1.36Wakuu mbna najaribu kudownload mods ya map lakin nikiactivate inaleta maelezo kuna files zinamiss nipeni links za map za offroad natumia version ya 1.37
Dah nashukuru mkuu ngoja nisubiri maana ile 1.36 nilifuta mkuuHii version bado mpya...kua nasubra mods zjae jae...kama unataka utam rud 1.36
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Ulikuwa unapoteza muda wako. Wenzio hao wanatafuta viewers tu. Ukitaka kuamini shuka chini soma comments za wenzio. (Kama hajaweka comments off sijui)ok sawa,, but ets2 la kweny simu lipo, changamoto ni kwenye kuli-instal, nilifuatilia kwa jamaa flani wa kihindi kupitia Youtube anaonyesha anavoliweka lakini mimi nilikwama kwenye kipengele cha ku-confirm kwamba mimi sio roboti jambo ambalo nilishindwa hadi sasa nacheza kwenye PC tu
za v 1.37 zipo ila si nzuli kivile maana naona nying zina barabara za rami kama vipi nenda ETS2 .LT KATAFUTE MAP SASA HIVI UTAICHEKI NEW MOD Map Meik V2 Rework – ETS2 1.36/1.37 | ETS2 modsNataka mods za map mkuu
za v 1.37 zipo ila si nzuli kivile maana naona nying zina barabara za rami kama vipi chukua hii ina work v 1.37 na hii chukua zote
Kama mimi nilidownload hii ila inanisumbua ina glitches kwenye lightings zote. kukiwa na taa za barabarani au taa za gari pamoja na indicator, zikiwaka zinaonyesha mabox mekundu na ukubwa wake inategemea ukubwa wa hizo taa zinazowaka wakati huoNashukuru mkuu ngoja nizijaribu hapa.
Nashukuru mkuu ngoja nisubiri mods ziongezeke tuKama mimi nilidownload hii ila inanisumbua ina glitches kwenye lightings zote. kukiwa na taa za barabarani au taa za gari pamoja na indicator, zikiwaka zinaonyesha mabox mekundu na ukubwa wake inategemea ukubwa wa hizo taa zinazowaka wakati huo
😬😬😬 ludi 1 36 ikibidiNashukuru mkuu ngoja nisubiri mods ziongezeke tu
Hahahah kwel mkuu alafu hii 1.37 aina tofauti sana na 1.36😬😬😬 ludi 1 36 ikibidi
Hahahah kwel mkuu alafu hii 1.37 aina tofauti sana na 1.36
TOFAUTI IPONDO MAANA IKAWA 1.37Hahahah kwel mkuu alafu hii 1.37 aina tofauti sana na 1.36
HATA MWISHO WA HUU MWEZI KUNA VITU VING UTAVIONA
Aisee double trailer hondulandia inabd usisinzie[emoji3]GAME V 1.36 MAP HONDULA A K A HARD WAY TRUCK SCANIA S 730 HP V8 WHITH DOUBLE TRAILER CITY FROM FERDNANDO GAMER TO KIEL DISTANCE KM 1420 43 HOURS IN ROAD DERVERED CARGO ON TIME
Yaah ipo mkuu.TOFAUTI IPONDO MAANA IKAWA 1.37
👊Yaah ipo mkuu.
ILIKUWA NI NOMA BALAA FATIGURE SIMURATION NILITOA TIKIAisee double trailer hondulandia inabd usisinzie[emoji3]
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app