kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
- Thread starter
- #4,281
Shusha mzigo uenjoy..1.43 hyo alaf ndo link yenye gb chacheDadek
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shusha mzigo uenjoy..1.43 hyo alaf ndo link yenye gb chacheDadek
Saw mkuu....ngoja nifany Hvo...Shusha mzigo uenjoy..1.43 hyo alaf ndo link yenye gb chache
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
kama una linki ww nipe mm swala la bando sio ishu sana na iwe capable na vision ya 1.43 ndo inakuwa unyama maana saivi nataka niode huu mzigo amazoni mambo ya kikaasawaMkuu ww kiboko,vp Mario map umeipiga? Mana ile imesheheni miji hadi kuload kipengele
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Alooo ukifungua inakuajewazee kitambo sana....naombeni msaada qenu kwanza kwa upande wa pili
nilikua nafanya window activation kupitia KMSPICO...kilichotokea ni data azifunguko...nahisi zimebadili filea kufungulia.ila kurudisha ndo imekuwa mziki...zinaonekana kama apa chiniView attachment 2166030View attachment 2166028View attachment 2166029
kaka umetisha ile mbayada wakati watu wanapambana na stand alone map uku na pambana na kuizunguka dunia ila unajua nini katishime pambana na wewe map yako niikute uku ili nini ata kuinunua nirahisi maana najua nakuja adi bongo maana mm kucheza kwenye ramani ya miji mitano au sita da yani siwezi nataka nilione li map likubwa ndo nifurahi afu cargo za mbali ndo inakuwa unyama sana but nilipambana kusoma tutorial nyingi ndo nikajua jinsi ya kuunganisha izi ramani maana ukikosea moja tuu kila kitu kina haribika either ukose ferry connection au game lako li crash lisiwe lina funguka maana kuna map zinahitaji high priority na nindogo kama project balkans na macedonia rework zinaitaji uangalizi sana but
kama vip #katshime uweke map yako na wewe humu tuendelee kupambana
View attachment 2145624
View attachment 2145627
View attachment 2145628
View attachment 2145629
View attachment 2145630
View attachment 2145631
View attachment 2145632
View attachment 2145634
View attachment 2145635
View attachment 2145636
View attachment 2145637
View attachment 2145638
View attachment 2145639
View attachment 2145640
View attachment 2145641
View attachment 2145643
View attachment 2145644
View attachment 2145647
View attachment 2145648
View attachment 2145650
View attachment 2145652
View attachment 2145653
View attachment 2145654
View attachment 2145655
View attachment 2145656
View attachment 2145657
View attachment 2145658
View attachment 2145659
View attachment 2145660
View attachment 2145661
yapivi wazee nawezaje join kwenye comvoy maaana kila nikijaribu naambiwa session ime exper sasa nashindwa kama kuna mtu ana cheza comvoy anieleweshe basi
Mzee hii si unaweza tumia hata kule NASAkama una linki ww nipe mm swala la bando sio ishu sana na iwe capable na vision ya 1.43 ndo inakuwa unyama maana saivi nataka niode huu mzigo amazoni mambo ya kikaasawa
Skytech Prism II Gaming Computer PC Desktop - AMD Ryzen 7 5800X 8-Core 3.8GHz, RTX 3080 Ti 12G GDDR6X, 1TB NVMe Gen4 SSD, 16GB DDR4 3200, RGB Fans, 360mm AIO, AC WiFi, Windows 10 Home 64-bit, White
View attachment 2162045
nataka nianze kucheza onlineyap
wazee wa murtplayer tuko hapa
niulize chechote usichokijua kuhusu murtplayer nitakuelekeza .
nataka nianze kucheza ets 2 kama real truck nataka nile rushwa mahali nampango wa kuodear amazoni mzeeMzee hii si unaweza tumia hata kule NASA
fuata maelekezo yafuatayonataka nianze kucheza online
fuata maelekezo yafuatayo
1]ingia google kisha search steam
2]download steam kisha fanya registration
3]ukisha register utaingia hapo kwa steam store kisha utafanya manunuzi ya game la euro truck simulatol 2 kwa kiasi cha doller 4.99 tu NB hii ni bei ya kipindi cha offer.
4] kama bado hujaelewa usisite kuniuliza
fuata maelekezo yafuatayo
1]ingia google kisha search steam
2]download steam kisha fanya registration
3]ukisha register utaingia hapo kwa steam store kisha utafanya manunuzi ya game la euro truck simulatol 2 kwa kiasi cha doller 4.99 tu NB hii ni bei ya kipindi cha offer.
4] kama bado hujaelewa usisite kuniuliza
Mimi mzee wa crack nakujaje online?[emoji3]alafu we kcamp ushakataa kuja online sababu ya nini
au unaogopa majasusi wa russia ?
Bonge la off-road hilo...pia kuna truck mod ya Benz hapo inaunguruma hadi raha [emoji3][emoji3]
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Tatizo litaanzia hapo kweny malipo[emoji23][emoji23]hii ni paid map
ukiambia mbongo alipie ili mfanye kitu kizuri wallah mtashikana mashati.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hahahahaTatizo litaanzia hapo kweny malipo[emoji23][emoji23]
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Bongo zipo au hazipo hizo?nataka nianze kucheza ets 2 kama real truck nataka nile rushwa mahali nampango wa kuodear amazoni mzee