Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Mkuu, unataka kusema hili game ni maalumu kwa wenye PC pekee? Sisi wenye simu za android inakuwaje sasa?Beba PC yoyote kuanzia Core i5 8th gen
Display kuanzia 14.0" inch (recommended 15.6")iwe kuanzia Full HD au 4K
7280 nzuri ukipata i7 ina full HD na zinatumia SSD(m.2) pekee
Kipengele kioo kidogo ni 12.5"inch hautaenjoy GAME
Ila game inacheza vizuri kabusa bila shida
7280 kuna i3 i5 na i7
i3 achana nayo chukua ya i7