Fahamu jinsi ya kutengeneza ndege ya kichawi, kwenda kokote Duniani

Private life.

Anayekuroga ni yule mtu wa karibu.
 
Kuna research iliqeka findings kwamba maendeleo ya miji inapngeza uoga wa uchawi.

Lakin uchawi wenyew ni sayansi kale. Mm naamini vijijn ni mkubwa kuliko vijijin
 
ajuza, ivi kufuga majini nako si ushirikina? au yapo majini mazuri ambayo unafuga tu hakuna shida na mabaya ambayo hufugi.
 
Sijasoma hadi mwisho baada ya kugoma kulishwa uongo kufuatia mtoa mada kushindwa kufaganua namna mafuta hayo yanatenganishwa.
 
Kama huamini uchawi basi huamini dini, na kama huamini dini ni vigumu pia kuamini uwepo wa Mungu.
 
Darasa zuri sana.
Unafanyaje Utafiti wa Uchawi bila kuwa mchawi?

Au ulikuwa mchawi na sasa umeacha?
 
ajuza, ivi kufuga majini nako si ushirikina? au yapo majini mazuri ambayo unafuga tu hakuna shida na mabaya ambayo hufugi.
Hiyo ya kufuga majini siku hizi imekuwa ni "blue economy", "of course" siyo kila kitu unaweza kufuga majini, lazima uwe na utaalam, Ulega, waziri wetu wa mifugo kafunguwa chuo pale Kilwa cha ufugaji wa majini. KInasaidia sana, kagawa na boti kibao kwa waliohitimu.
 
Darasa zuri sana.
Unafanyaje Utafiti wa Uchawi bila kuwa mchawi?

Au ulikuwa mchawi na sasa umeacha?
Ukishakuwa mchawi utakuwa ni utafiti au ushuhuda wa mchawi?

Sema kafanya utafiti kwa kuwa anaupenda na alitamani auelewe uchawi.
 
namaanisha hii, tupe neno hapo, kumbe mnaswali na majini? na mnayo majini mazuri na mabaya?
 
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • MAAJABU MSIKITI WA MAJINI ULIOPO MAKKAH SHEIKH RUSAGANYA ALISWALI NA WATU VICHWA.mp4
    45.6 MB
Mkuu hivi vitu vipo... Na huwezi kuona kwa macho maana ni belief flani..
Kiufupi ni kama dini...

Unajua uchawi ni technology.. Na shida yake moja ni kuwa taratibu zake za kuingia huko na kuwa mwanachama zinahitaji mambo ambayo sio ya kistaarabu..

Mfano mara nyingi hupenda damu.. Na kuipata wakati mwingine watu hufanya mauwaji... Na pia hii kitu sio Africa tu.. Wazungu wanafanya sana kuliko sisi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…