The Master pizo
Senior Member
- Dec 18, 2019
- 149
- 125
Habari za leo wandugu!
napenda kushirikishana nanyi jambo moja ambalo yamkini wengine walishalizungumzia au wanalifanya lakini sio mbaya na mimi nikiligua kwa nafsi yangu.
kwa kipindi hiki cha sasa kumekuwa na wimbi kubwa la kukosa ajira na hivyo kupelekea mai9sha kuwa duni kwa baadhi ya watu wengi lakini hiyo isiwe kigezo cha sisi kutokujaribu mambo mbali mbali hasa ya online kwa ajili ya kuona kama tutapata chhochote kitu.
kwanza tuanze kama ifuatavyo kama kichwa cha habari kilivyo kinahusu moja kwa moja masuala ya mobile app lakini mimi sizungumzii mambo ya coding yaani nazungumzia making app through other website that offer a free android app au application za kutengenezea appskuna site kama appgeyser, andromo, appcreator 24 sasa mimi nitazungumzia appcreator 24 ambayo inatoa nafasi nyingi za sisi kuweka matangazo.
APP CREATOR 24
hiyo site inakupa uwezo wa kutengeneza apps nyingi sana kama lakini mimi nitazungumzia kwa wale wenye blogs au website hii ndio itawafaa zaidi.
hapa ina maanisha kwamba tunatoka kwenye ule mfumo wa mtembeleaji kuingia google kukutafuta na badala yake anakuwa na application yako ambayo atakuwa anapata taarifa bila mzunguko wowote ule.
Sasa tuanze kutengeneza app ya blog yetu ili tuelewane
HATUA YA KWANZA
jisajili kwa kubonyeza hapo APPCREATOR 24
kisha baada ya hapo bonyeza mahali palipoandikwa CREATE APP kisha utajaza taarifa kama unavyoona hapo chini
Baada ya hapo bonyeza next utaletwa katika ukurasa huu hapo chini
chagua muonekano kisha bonyeza next kisha utaletwa mahali pa kuchagua aina ya app unayotaka kama picha inavyoonyesha hapo chini
sasa ukifika hapo chagua BLOG APP maana ndio nilichopanga kuelezea leo ukishabonyeza itafunguka sehemu inayofuata ambayo ndio ya muhimu sana
jaza jina la blog yako kisha chini ingiza link ya blog yako kwa usahihi kisha bonyeza next na tutakuwa tumemaliza kutengeneza app yetu utabonyeza hapo GO TO APP MANAGER
HATUA YA PILI
twende tukaingize matangazo katika app yetu hata kabla hatujaijaribu ili kuokoa muda
tutaenda kutumia site ya STARTAPP ili kuwekamatangazo yetu
jisajili hapa STARTAPP ili twende pamoja
baada ya kujisajili sasa bonyeza mahali pameandikwa my apps kisa bonyeza mahali pameandikwa add new app baada ya kubonyeza hapo utaletwa sehemu ya kuweka app url yako sasa kwa kuwa sisi hatujaiweka app yetu play store tunatakiwa tubonyeze pale chini palipoandikwa click here
baada ya hapo utatakiwa uingize app name na app platform
kisha tutabonyeza add app
sasa tumefikia pazuri tunywe maji kidoooogooooo
haya tuendelee sasa copy hiyo app ID utakayopewa hapo
baada ya ku copy twende kwenye ile site yetu ya mwanzo app creator 24
bonyeza mahali pameandikwa Ads paste ID yako mahali husika kwenye collumn ya startapp kama picha inavyoonyesha
baada ya kumaliza hatua zote hizo bonyeza save kisha nenda mahali pameandikwa download app bonyeza hapo ili kuipakua app yetu
sasa wakati unaipakua usisahau ku copy link yake ambayo utaikuta ndani ya maelezo kama kwenye picha hapo chini
baada ya kucopy link twnde kwenye site ya startapp ili tukamalize kazi bonyeza my apps kisha utaona app yako imeandikwa missing url
bonyeza hapo ili tuiweke ile link yetu ya app tuliyoicopy muda mfupi uliopita kisha chagua category na app maturity kama picha inavyoonesha kisha bonyeza alama ya tiki
mpaka hapo tumeshamaliza kila kitu now ni wakati wa ku install app yetu ili kuijaribu
now tumemaliza topic yet ya leo kama hujaelewa nakukaribisha DM kwa msaada zaidi
mbarikiwe
kujisajili bonyeza hapa APPCREATOR 24
kujisajili bonyeza hapa STARTAPP
napenda kushirikishana nanyi jambo moja ambalo yamkini wengine walishalizungumzia au wanalifanya lakini sio mbaya na mimi nikiligua kwa nafsi yangu.
kwa kipindi hiki cha sasa kumekuwa na wimbi kubwa la kukosa ajira na hivyo kupelekea mai9sha kuwa duni kwa baadhi ya watu wengi lakini hiyo isiwe kigezo cha sisi kutokujaribu mambo mbali mbali hasa ya online kwa ajili ya kuona kama tutapata chhochote kitu.
kwanza tuanze kama ifuatavyo kama kichwa cha habari kilivyo kinahusu moja kwa moja masuala ya mobile app lakini mimi sizungumzii mambo ya coding yaani nazungumzia making app through other website that offer a free android app au application za kutengenezea appskuna site kama appgeyser, andromo, appcreator 24 sasa mimi nitazungumzia appcreator 24 ambayo inatoa nafasi nyingi za sisi kuweka matangazo.
APP CREATOR 24
hiyo site inakupa uwezo wa kutengeneza apps nyingi sana kama lakini mimi nitazungumzia kwa wale wenye blogs au website hii ndio itawafaa zaidi.
hapa ina maanisha kwamba tunatoka kwenye ule mfumo wa mtembeleaji kuingia google kukutafuta na badala yake anakuwa na application yako ambayo atakuwa anapata taarifa bila mzunguko wowote ule.
Sasa tuanze kutengeneza app ya blog yetu ili tuelewane
HATUA YA KWANZA
jisajili kwa kubonyeza hapo APPCREATOR 24
kisha baada ya hapo bonyeza mahali palipoandikwa CREATE APP kisha utajaza taarifa kama unavyoona hapo chini
Baada ya hapo bonyeza next utaletwa katika ukurasa huu hapo chini
chagua muonekano kisha bonyeza next kisha utaletwa mahali pa kuchagua aina ya app unayotaka kama picha inavyoonyesha hapo chini
sasa ukifika hapo chagua BLOG APP maana ndio nilichopanga kuelezea leo ukishabonyeza itafunguka sehemu inayofuata ambayo ndio ya muhimu sana
jaza jina la blog yako kisha chini ingiza link ya blog yako kwa usahihi kisha bonyeza next na tutakuwa tumemaliza kutengeneza app yetu utabonyeza hapo GO TO APP MANAGER
HATUA YA PILI
twende tukaingize matangazo katika app yetu hata kabla hatujaijaribu ili kuokoa muda
tutaenda kutumia site ya STARTAPP ili kuwekamatangazo yetu
jisajili hapa STARTAPP ili twende pamoja
baada ya kujisajili sasa bonyeza mahali pameandikwa my apps kisa bonyeza mahali pameandikwa add new app baada ya kubonyeza hapo utaletwa sehemu ya kuweka app url yako sasa kwa kuwa sisi hatujaiweka app yetu play store tunatakiwa tubonyeze pale chini palipoandikwa click here
baada ya hapo utatakiwa uingize app name na app platform
kisha tutabonyeza add app
sasa tumefikia pazuri tunywe maji kidoooogooooo
haya tuendelee sasa copy hiyo app ID utakayopewa hapo
baada ya ku copy twende kwenye ile site yetu ya mwanzo app creator 24
bonyeza mahali pameandikwa Ads paste ID yako mahali husika kwenye collumn ya startapp kama picha inavyoonyesha
baada ya kumaliza hatua zote hizo bonyeza save kisha nenda mahali pameandikwa download app bonyeza hapo ili kuipakua app yetu
sasa wakati unaipakua usisahau ku copy link yake ambayo utaikuta ndani ya maelezo kama kwenye picha hapo chini
baada ya kucopy link twnde kwenye site ya startapp ili tukamalize kazi bonyeza my apps kisha utaona app yako imeandikwa missing url
bonyeza hapo ili tuiweke ile link yetu ya app tuliyoicopy muda mfupi uliopita kisha chagua category na app maturity kama picha inavyoonesha kisha bonyeza alama ya tiki
mpaka hapo tumeshamaliza kila kitu now ni wakati wa ku install app yetu ili kuijaribu
now tumemaliza topic yet ya leo kama hujaelewa nakukaribisha DM kwa msaada zaidi
mbarikiwe
kujisajili bonyeza hapa APPCREATOR 24
kujisajili bonyeza hapa STARTAPP